Mkuu tusamehe. Kiukweli najisikia aibu mimi binafsi Kama mtiziiUK to inaugurate Kq direct flight to the U.S. I know most Kenyans don't give a damn like they don't care and it's none of their bizniz.
Magu anapanda ndege kutoka dar mpaka mwanza na hatupumui humu ndani!!! hehee
enyewe,,, kama vile mdau mmoja aliwahi sema hapa kuwa kila mmoja asherehekee kwa level yake,,, sasa ndio wakati mwafaka wa kukubaliana naye 100%.
Mods tafadhalini ondoeni watz kwa Kenyan section. Kenyans are known to be intelligent but it's unfortunate I can't say the same to the Tanzanians in here who behave like primates
Mmmmh peleka huko shomboTabu ipi sasa. Wanawashangaa na ushamba wenu kandege kamoja kelele mingi mngekuwa na hata 5 si dunia mzima ingepata tabu. Watanzania tuache mdomo wakenya siyo level yetu na pia naona washaona ni upumbavu kujilingnisha na Tanzania ndo maana huwa wanapiga kimya mnaachwa mbishane wenyewe Kama mazuzu
Ka sentesi kangu kamoja ndiko kamekutoa povu hivi. Hakika unapata taabu sana.Tabu ipi sasa. Wanawashangaa na ushamba wenu kandege kamoja kelele mingi mngekuwa na hata 5 si dunia mzima ingepata tabu. Watanzania tuache mdomo wakenya siyo level yetu na pia naona washaona ni upumbavu kujilingnisha na Tanzania ndo maana huwa wanapiga kimya mnaachwa mbishane wenyewe Kama mazuzu
Hahaha mtapata tabu sana chadomo kila kona mnanyukwaMkuu tusamehe. Kiukweli najisikia aibu mimi binafsi Kama mtizii
Hahahaha labda UKerewe mkuuMmmmh peleka huko shombo
Kwani nani anajilunganisha nao?
Sisi level yetu ni US na UK π¬π§
Acheni ushamba.Ka sentesi kangu kamoja ndiko kamekutoa povu hivi. Hakika unapata taabu sana.
Nendeni mkatambiane na burundi forum au Uganda forum kenya wanapiga root ndefu siyo size yetuHahaha mtapata tabu sana chadomo kila kona mnanyukwa
Wananchi wameamua kuwawekea ngumu
Kenya is failed and broke state labda kama huijui Kenya inside and outNendeni mkatambiane na burundi forum au Uganda forum kenya wanapiga root ndefu siyo size yetu
Okay πΆ π§Kenya is failed and broke state labda kama huijui Kenya inside and out
Tanzania πΉπΏ ipo na Kenya 50 ndogo ndogo,
πππ Hilo linaitwa povu. Kwa kingereza linaitwa FOAM.Acheni ushamba.
okay πΆ π§πππ Hilo linaitwa povu.
Kojoa sasa ukalale ili kesho uamke mapema uende Sunday school.okay πΆ π§
Okay πΆ π§Kojoa sasa ukalale ili kesho uamke mapema uende Sunday school.
Unazi huo ndege haikuwa mbovu Bali Ilikuwa ikiupdetiwa baadh ya technology Kama Wi-Fi na hilo mafund WA Boeing wenyewe ndo walipendekeza ufanyike mapema . Halaf ndege sio Kama vyombo vingne vya usafir Haswa Kama ni Mpya inaundergo series of testing...Mkuu upo sahihi..
Ndege ilikuwa mbovu kwa siku 3..tarehe 14,15,na 16.
Ilianza kuruka jana.
Huo ndio ukweli.