Jua haki yako unapokamatwa na Polisi

kweli kabisa
 
Sio kwamba wana haki, bali ni maelekezo ya sheria askari kumwambia mshukiwa sababu za kukamatwa kwake. Na si lazima Polisi mkamataji akaondoka na mshukiwa wake, Polisi anaweza kutangulia, mshukiwa akamfuata mwenyewe kituoni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…