Jua haya kwa usalama was kiafya

Jua haya kwa usalama was kiafya

Joined
Jul 6, 2012
Posts
44
Reaction score
8
Nimeikuta hii kwenye web moja ya wasabato
 

Attachments

  • 1432108961554.jpg
    1432108961554.jpg
    20.7 KB · Views: 279
Ni kweli pastic inayolainika kwenye joto ni mbaya sana kwa afya, hivyo tumia plastick kwa matumizi mengine na siyo kwa chakula.
 
Huo ni ukweli..Cancer inasababishwa na ,pamoja na sababu zingine,na kemikali ziitwazo carcinogens ambazo zina uwezo wa kuactivate cancer causing genes (proto-oncogenes) au kudeactivate cancer inhibiting genes(tumor suppresor genes)

Some of the well known carcinogens ni polymers contained in plastic material

Hivyo mie naona kuna ukweli hapo!!!
 
Back
Top Bottom