Jua kesho tarehe 21 Machi litaingia Ikweta, Masika kuanza

HAPANA Jua halina mzunguko (km una link hapo tuwekee)
nachojua kuna Black hole na kuna vitu kibao vinaelekea lkn kinachotoa energy /Moto ni Sun
Earth ina mzunguko wake kulizunguka Jua tunapata siku 364 days & 6hrs ndio mleta Mada kauelezea
 
Ahsante sana mkuu, ubarikiwe🙏




Siku 90 zijazo jua litakuwa kizio cha kaskazini(Northern Hemisphere) ambayo ni Tropical ya kansa, kumaanisha jua na miale yake litakuwa mbali na kizio cha kusini, hivyo upande wetu(chini ya ikweta itakuwa ni msimu wa baridi(winter) huku nchi za ulaya ukiwa ni msimu wa kiangazi(summer)
 
Dah Leo ndio nimeelewa maana ya equinox ,tangu nimalize kidato Cha tatu cjui nilikuwa na jibia mtihan , shukran sana mtoa mada...
 
Dah Leo ndio nimeelewa maana ya equinox ,tangu nimalize kidato Cha tatu cjui nilikuwa na jibia mtihan , shukran sana mtoa mada...


Karibu Sana.
Wala sio kosa lako,
Mara nyingi elimu tuliyofundishwa wengi wetu tuliikariri ndio maana tunasema haina maana yoyote lakini kimsingi inamaana Kama utaielewa
 
Good, very good! Lakini Hariel, haya yalikuwa kweli kabla ya mtu anayeitwa "Mabadiliko ya Tabia Nchi" kuingia. Am I right?
 
Good, very good! Lakini Hariel, haya yalikuwa kweli kabla ya mtu anayeitwa "Mabadiliko ya Tabia Nchi" kuingia. Am I right?

Haya ni kweli mpaka sasa, ingawaje yapo mabadiliko ya tabia ya nchi kutokana uharibifu katika anga la mbali ilipo tabaka la Ozone layer (O3)kuharibiwa hivyo miale ya jua inatoka pasipo uwiano mzuri Hali iñayopelekea mabadiliko katika tabia ya nchi na Hali ya hewa.

Zingatia miale ya jua(insolation) inaathiri Kwa shemu kubwa Tabia ya nchi na Hali ya hewa katika Dunia yetu.
 
Kuna mtaalam mmoja sijui alipotelea wapi @mgalanjuka aka @monstgla alitupatiaga hii elimu kuwa kumbe hata jua linazunguka. Si jua tu, hata nyota za kwenye galaxy hii, pia zina mzunguko wake kuizunga black hole.

Maswali hapana.
 
Kuna mtaalam mmoja sijui alipotelea wapi @mgalanjuka aka @monstgla alitupatiaga hii elimu kuwa kumbe hata jua linazunguka. Si jua tu, hata nyota za kwenye galaxy hii, pia zina mzunguko wake kuizunga black hole.

Maswali hapana.

Dunia kila jambo lawezekana
 
Ngoja nisubiri maana huku kwetu Kila kitu kimekauka kwa jua kali
 
Nielimishe, hivi jua linaelea elea huko juu? Eti na duniabyetu inaelea elea ?
 
Huku ngurumo za htr sana,
Muda wwte naona inaweza kushuka,
Big up sn mkuu,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…