1. Ni siku ya ibada maalumu kwa swala ya jumah.
2. Quran ilianza kushusha siku ya ijuuma kwa Kipenzi chetu Muhammad (saw)
3. Itakua siku ya ijumma ndo Qiyamah itatokea. kati swala ya ijuuma na swaratul Asr.
4. Ilikua siku ya ijumma ndo Mtume Muhammad (saw) kapelekwa Isra wa Imraji.
Na sababu nyingi zaidi unaweza ukaogeza zako. Nawatakia ijumma Kareem waislamu wote waliomo humu. Shukuruni sana Allah kuwafanya kua waislamu.
2. Quran ilianza kushusha siku ya ijuuma kwa Kipenzi chetu Muhammad (saw)
3. Itakua siku ya ijumma ndo Qiyamah itatokea. kati swala ya ijuuma na swaratul Asr.
4. Ilikua siku ya ijumma ndo Mtume Muhammad (saw) kapelekwa Isra wa Imraji.
Na sababu nyingi zaidi unaweza ukaogeza zako. Nawatakia ijumma Kareem waislamu wote waliomo humu. Shukuruni sana Allah kuwafanya kua waislamu.