Jua la Dar!!!!!

Jua la Dar!!!!!

Subirin mungu atawapendelea. Soon itakuja mvua....ili muishi kwenye mitumbwi
 
Hahah jua la Dar limenishinda nimekimbilia Arusha milimani huku.... Nakula tu maisha huku
Mkuu nataka nikuje Arusha, nikiwa na laki2 nitapambana kuishi pindi natafuta kibarua??
 

Attachments

  • pumbu.jpg
    pumbu.jpg
    37.4 KB · Views: 46
Back
Top Bottom