Tyrone Kaijage
JF-Expert Member
- Jul 19, 2021
- 1,617
- 3,405
Kutokana na kukiwasha kwa mtu fulani katika wakati wake kwenye timu,unakuta jezi ya namba fulani inakuwa inaheshimika hivyo hata anayepewa mara nyingi anakuwa ni yule mwenye kukaribia kama sio kufata nyayo za aliyeiwekea heshima.Hizi ni baadhi ya namba zenye kuheshimiwa na timu.
Arsenal -14
Man u - 7
Barcelona -10
Chelsea- 11
Liverpool-8
Argentina -10
Brazil- 10
England-9
France-10
R.Madrid-7
Arsenal -14
Man u - 7
Barcelona -10
Chelsea- 11
Liverpool-8
Argentina -10
Brazil- 10
England-9
France-10
R.Madrid-7