mugah di matheo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 6,307
- 12,410
Ugaidi ni nini?
Ugaidi ni kule kuharibu Mali za watu, kujeruhi na kuua raia wasio na silaha makusud ili kufanikisha malengo ya kisiasa au kimrengo. mfano Al qaida, Harakat Al shababu Al mujhedn
Udikteta.
Ni kule uongozi unaoshika madaraka mahali kukataa kufuata sheria kwa makusud kabisa, hivyo kuendesha nchi kiholela bila kufuata sheria. mfano Mu7, Putting, Al Asis etc
Uasi..
Ni kupambana na serikali (jeshi la nchi) kwa lengo la kuchukua madaraka.
Hapa kundi hua linapambana na serikali pasi nakulenga raia kwa makusudi.
Mfano, Tamil taigers - Sri Lanka, Mend - Nigeria, Houth - Yemen...
Kwanini ugaidi unaenea Sana?
Hii dhana inatokana na kutokuwa na usawa kimaisha inapelekea kuoneana ambapo hufanya vikundi flani vitake kulipiza kisasi, hapo ndipo huvutwa na magaidi kwa kushawishiwa kwa mafundisho feki..
Aina za ugaidi..
Ugaidi wa ndani ya nchi
Ugaidi wa kuvuka mipaka
Ugaidi wa kidini..
Ugaidi wa kidini hutokana na kutafsri vibaya maandiko ya kidini hususan ya kiislamu (Qur'an tukufu).
Kwanini uislamu na ugaidi?
Tovuti ya Asian.org ya Malaysia inajibu kuwa Hilo hutokana na
1. Udhaifu wa serikali za nchi za kiislamu.
2. Ukandamizwaji katika nchi za kiislamu..
Tujadili hayo nitaongeza mengine asubuhi..
Soma pia Asia society.org
Ugaidi ni kule kuharibu Mali za watu, kujeruhi na kuua raia wasio na silaha makusud ili kufanikisha malengo ya kisiasa au kimrengo. mfano Al qaida, Harakat Al shababu Al mujhedn
Udikteta.
Ni kule uongozi unaoshika madaraka mahali kukataa kufuata sheria kwa makusud kabisa, hivyo kuendesha nchi kiholela bila kufuata sheria. mfano Mu7, Putting, Al Asis etc
Uasi..
Ni kupambana na serikali (jeshi la nchi) kwa lengo la kuchukua madaraka.
Hapa kundi hua linapambana na serikali pasi nakulenga raia kwa makusudi.
Mfano, Tamil taigers - Sri Lanka, Mend - Nigeria, Houth - Yemen...
Kwanini ugaidi unaenea Sana?
Hii dhana inatokana na kutokuwa na usawa kimaisha inapelekea kuoneana ambapo hufanya vikundi flani vitake kulipiza kisasi, hapo ndipo huvutwa na magaidi kwa kushawishiwa kwa mafundisho feki..
Aina za ugaidi..
Ugaidi wa ndani ya nchi
Ugaidi wa kuvuka mipaka
Ugaidi wa kidini..
Ugaidi wa kidini hutokana na kutafsri vibaya maandiko ya kidini hususan ya kiislamu (Qur'an tukufu).
Kwanini uislamu na ugaidi?
Tovuti ya Asian.org ya Malaysia inajibu kuwa Hilo hutokana na
1. Udhaifu wa serikali za nchi za kiislamu.
2. Ukandamizwaji katika nchi za kiislamu..
Tujadili hayo nitaongeza mengine asubuhi..
Soma pia Asia society.org