Jubilee Grand merger live Citizen tv: Tuna cha kujifunza

Mkikuyu kaanza kutoa povu.
 
Muungano wa vyama kenya.....hapa sisemi kitu..........

 
Huoni aibu kutoa uvundo na akili za kiuenda wazimu wazimu hapa hapa jukwa lenye heshimu na ukomavu wa akili.........
Wewe endelea kutoa povu lakini huwezi kubadiisha ukweli kuhusu siasa zenu, kale githeri ukalale.
 
Wana ODM mombasa kenya walikuwepo pia..............

 
Wewe endelea kutoa povu lakini huwezi kubadiisha ukweli kuhusu siasa zenu, kale githeri ukalale.

vijitoto vya kumaliza high school juzi huwa sipotezi muda navyo......utarudi vijiweni ulikotoka kubovya bovya visimu au zizia kaka..................
 
vijitoto vya kumaliza high school juzi huwa sipotezi muda navyo......utarudi vijiweni ulikotoka kubovya bovya visimu au zizia kaka..................
sometimes i imagine that they are taught just to hate
 
Uhuru at 3pm: Tushindane kwa sera sio kwa matusi, wakenya hawakuli matusi
Raila at 6pm: Jubilee ni kama punda anaye nyambanyamba
 
Uhuru at 3pm: Tushindane kwa sera sio kwa matusi, wakenya hawakuli matusi
Raila at 6pm: Jubilee ni kama punda anaye nyambanyamba
Alafu ilikua inachekesha after wote walikiri walikua wanaangalia tv kujua nini kinaendelea na nini wanasema huko kasarani/Mombasa
 
Kila la kheri wakenya sisi huku tumezuiwa kufanya siasa mpaka 2020. Ni ccm pekeyao ndo wanaruhusa upinzani hapana.
 
Sawa kabisaa.. Nakumbuka ile katuni na, maon ya yuke mharir wa the citizen kenys
 
Safi
 
Uhuru at 3pm: Tushindane kwa sera sio kwa matusi, wakenya hawakuli matusi
Raila at 6pm: Jubilee ni kama punda anaye nyambanyamba

hapo Rao alilpoteza points sana, I've always voted opposition but this time round nikama kamwana atapata kura yangu, we can't ignore that things are changing for the better. Corruption ndio kidogo wameniangusha.
 
Hii ndo kitu Ukawa walipaswa fanya 2015.
Maisha yao yangekuwa matamu sana sasa hivi.
Wakaja kuishia kunyang'anyana majimbo na viti vya udiwani huku wazee wakongwe wakiitoroka kambi kati kati ya mpambano..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…