Jubilee oyeeeeee!...now is this a campaign ama pure incitement?

Jubilee oyeeeeee!...now is this a campaign ama pure incitement?

Kuna kitu kimoja Wakenya tunafaa tuelewe, vita vya ukabila huwa havina mshindi, tutanyukana hiyo tarehe 26 na kumwaga damu lakini mwisho wa siku hakuna atakayeibuka mshindi. Haijalishi utaua Wakikuyu, Wajaluo wangapi lakini baada ya hapo utakuja kugundua hakuna aliyeshinda.

Hitler aliwachinja Wayahudi mamilioni, lakini leo hii yupo kaburini na hakuibuka na ushind wowote. Wengi huwa mnasema vita huleta hesima eti tuchinjane ili tuheshimiane, huo ni uwongo, pale Rwanda asikudanganye mtu, wale watu hawana amani ya ukweli maana sioni jinsi nitaishi na mtu aliyechinja watoto wangu eti tunachekeana kila siku, itakua usanii na ipo siku nitapata fursa lazima nimtenganishe na kichwa chake.

Hivyo tuhubiri amani, pande zote mbili tunanoa mapanga na kueneza chuki kwenye mitandao lakini ipo siku tutaitamani hii amani ya leo. Tumechonganishwa na hawa viongozi kama makondoo na kukubali kauli zao, wakati wao watahama hili liinchi na kuacha tukipokezana mapanga. Mimi yangu macho......
Yah bandiko lako lina mashiko mkuu dawa ya moto ni maji
 
Hehe Sammuel999, imekuuma sana mkisii mwenzako Matia'ngi hamuungi mkono Raila eeh? Afadhali Jubilee tunafanya maombi, hiyo ni katikati yetu na Mungu wetu. Bado Raila hajawapeleka nyinyi watoto wake kwa wachawi mkanyunyuziwe damu ya kuku mweusi? Maneno ni maneno tu. Hadi sasa hivi sijaona wafuasi wa Jubilee wakitupa mawe na kuharibu mali na kuwapora dada zetu mchana kweupe tena katikati ya Nairobi! Mbona Raila hawaambii wafuasi wake wafanye maandamano ya amani, bila wizi na uharibifu wa mali ya wenyewe? Mkizuia mtu kupiga kura mnangoja nini? Mtakiona cha moto. Wewe mwenyewe umehudhuria maandamano ngapi ya NASA? Au kazi ni kulialia tu hapa jf? Muoga wewe, tarehe 26 nenda kazuie watu kupiga kura ufe kwasababu ya mungu wenu Raila wakati yeye atakuwa pale Hilton akila vitumbua na kubugia sharubati.
babu vitambua
 
And Raila wont be on ballot in 2022 i actually know that for a fact!!!....he will however lead kenya upto 2022 ....the start date is what we dont know!!
Idiotic dream. Wake up and smell the coffee idiot!
 
These hypocrites will never talk of how their Lord of poverty incited people in Maasailand saying ati some Kenyans " warudi kwao" and all his incitement of 41 vs 1 that led to 2008 mayhem.
I was born and raised in Kajiado county and in all my years, unlike our neighbours in Narok there has never been ethnic tension in Kajiado. Then a fool comes all the way from Bondo and has the audacity to choose for us who should and should not live in Kajiado county. I lost all my respect for the lord of poverty that day expecting us to fight and kill each other for him. He endangered the lives of my kids and for that the nicompoop can forever rot in hell!
 
Uzuri wakisii wako opposition no one likes matiang'i and he will receive straight answers from yhe Lord as soon as possible

Saitoti was interior minister
Died in plane crush


Ogode was interior minister
Died in car accident


Nkaiserry was interior minister Died of heart attack


The Lord works in mysterious ways


Change your ways or the Lord will surely bless up!!
Wakissi ni 50 50
 
Wakissi ni 50 50
Naaah trust me its changed ...u will see how not even 50,000 people will vote this coming elections in areas like Kisii town.....Nyamira ndio 50-50 since
Maraga
Matiang'i
Nyachae
Ongeri all come from Nyamira
I also come from Nyamira ....but Kisii county is NASA Nyamira ndio mixed!!
 
Naaah trust me its changed ...u will see how not even 50,000 people will vote this coming elections in areas like Kisii town.....Nyamira ndio 50-50 since
Maraga
Matiang'i
Nyachae
Ongeri all come from Nyamira
I also come from Nyamira ....but Kisii county is NASA Nyamira ndio mixed!!
Kisii we only need 35% migori 20%...bungoma 30% and were done
 
Back
Top Bottom