Ilibidi kikosi kizima cha tanzania 'special forces' kuzuiliwa kambini wakati kwa kufanyia watoto wa watu unyama, aibu tupu..Toka lini Tanzania imekuwa DRC? Ukiongelea Tanzania uje na ushahidi unaoeleweka. Cha kushangaza ni pale watu walio husishwa moja kwa moja na mauwaji ya wananchi wa Kenya zaidi ya 1,000 na kuwapotezea makazi wengine wengi, leo hii ni watu wanaoingoza Kenya. Huku watu kama wewe unawapigia debe eti tano tena, ni aibu kubwa sana.
Kweni huku kwetu mbona wapinzani wanaburuzwa,hata bunge letu kweni likoje?Japo kuwa nia ni kutegua hichi kitendawili cha kisisaa, lakini Jubilee wametumia mabavu bila kujali wenzao wa upande wa pili NASA.
Nemesema Tanzania sio DRC, kilichitokea DRC haijatokea Tanzania. Kwani KDF wakiwa Somalia wanawapikia chai Al shabbab? Au umesha wahi kuna kikosi cha jeshi la Marekani kinafanya unyama ndani ya Marekani?Ilibidi kikosi kizima cha tanzania 'special forces' kuzuiliwa kambini wakati kwa kufanyia watoto wa watu unyama, aibu tupu..
View attachment 610093
Ukirudi nyuma kwenye post namba 16 utaona nimesema kwa sheria kama hii, Kenya inakuwa haina tofauti na Tanzania. Nikimaanisha kama bunge limepitisha sheria ya upande mmoja, na kubadili sheria kuipa serikali nguvu zaidi ya vyama vingine.Kweni huku kwetu mbona wapinzani wanaburuzwa,hata bunge letu kweni likoje?
Hapa kinachosemwa ni mauaji sio kubaka, pili kama ni ubakaji walifanya huko DRC sio Tanzania kwa hiyo hawapo katika utawala wa serikali ya Tanzania, Kenya kamwe msizungumze lolote kuhusu brutality na mauaji ya kiholela yanayofanywa na serikali, Kenya inaongoza Afrika katika unyama huo, na ni miongoni mwa nchi zenye usalama mbaya sana duniani, hayo ya maandamano yanafaida gani kama mkiandamana watu wanauliwa kama mbwa na hakuna hatua inayochukuliwa.He, eti 1990's ...juzi juzi tu mmetuonyesha vile polisi pamoja na jeshi ni wanyama kupindukia, kutoka kwa kubaka watoto Kule drc, operation tokomeza.
View attachment 610029 View attachment 610030
Tofauti ni kwamba wananchi wa Tz wamenueshewa sana miaka kwenda miaka rudi Tangu siku za maji maji hadi hio miaka ya 1990's kiasi cha kuwa wazazi wamerithisha watoto uoga wa kupigania haki na wanachokiamini kuwa sawa.
Ukweli ni kwamba upinzani Tz hauwezi ukafanya vile upinzani kenya unafanya, kwanza vituo vya Jabari vitakavyo patia airtime upinzani vitafungwa, hakutakua na hata picha moja itakayoonyesha maandamano kwa social media, alafu wananchi wenyewe watakua waoga kujitokeza kumpinga magu wazi wazi.... Hata wale anti-riot police hawatakua na kazi manake wananchi wenyewe waoga kama nini
Mimi nimeshasema, the only difference between us and you is because most of you are too much of pussies to openly defey the ccm govt, that's it... So their is no reason to warrant extreme action from police.... Lakini zile siku wengine wenu hukosa adabu hua mnaomyeshwa cha mtema kuniHapa kinachosemwa ni mauaji sio kubaka, pili kama ni ubakaji walifanya huko DRC sio Tanzania kwa hiyo hawapo katika utawala wa serikali ya Tanzania, Kenya kamwe msizungumze lolote kuhusu brutality na mauaji ya kiholela yanayofanywa na serikali, Kenya inaongoza Afrika katika unyama huo, na ni miongoni mwa nchi zenye usalama mbaya sana duniani, hayo ya maandamano yanafaida gani kama mkiandamana watu wanauliwa kama mbwa na hakuna hatua inayochukuliwa.
Kuna mwandishi mmoja wa habari anaitwa Mwangosi aliuliwa na polisi mwaka 2014, yule polisi alihukumiwa kifungo cha miaka 15 na amefukuzwa kazi, kamwe halitokei hilo Kenya, polisi Kenya wanauwa waandamanaji kama wanawinda wanyama kule Tsavo na hakuna anayewajibishwa, usizungumze lolote kuhusu hilo, ninyi mumezoea kufa hovyo, huo sio ushujaa ni ujinga.
Mbona husemi huyo aliyeuliwa ni nani na ilitokea wapi? kama ni jambazi hiyo inakubalika, kuhusu hao wengine kupigwa na polisi, hatujasema hayatokei Tanzania, ila ni kwq kiwango kidogo ukilinganisha na Kenya, kuhusu polisi kuua, kwa Tanzania sio jambo la kawaida kama ilivyo huko Kenya, na ikitokea utaona reaction ya wananchi na polisi aliyefanya hivyo lazima ashughulikiwe, japo mwandamano yanazuliwa na polisi, lakini ni mara chache kusikia mtu amepigwa risasi na kuuliwa wakati wa maandamano, huko Kenya maandamano yakiisha bila mtu kuuliwa basi hayo siyo maandamano, Kenya ipo nyuma sana katika Police brutality, katika Afrika nzuma, hata Burundi is better ukilinganisha na KenyaMimi nimeshasema, the only difference between us and you is because most of you are too much of pussies to openly defey the ccm govt, that's it... So their is no reason to warrant extreme action from police.... Lakini zile siku wengine wenu hukosa adabu hua mnaomyeshwa cha mtema kuni
View attachment 610615
View attachment 610616 View attachment 610617 View attachment 610618 View attachment 610619 View attachment 610620 View attachment 610621 View attachment 610622 View attachment 610615
One person killed as anti-IEBC protests continue in KisumuMimi nimeshasema, the only difference between us and you is because most of you are too much of pussies to openly defey the ccm govt, that's it... So their is no reason to warrant extreme action from police.... Lakini zile siku wengine wenu hukosa adabu hua mnaomyeshwa cha mtema kuni
View attachment 610615
View attachment 610616 View attachment 610617 View attachment 610618 View attachment 610619 View attachment 610620 View attachment 610621 View attachment 610622 View attachment 610615
Defey for what, hatujawaki kuona Kenyan you guys defey the government halafu mkashinda. Most of the time inaishia na lost of lives huku aliyekuwa madarakani anaendekea kuwa rais. It happen durung Moi time, it has happen na Kibaki na sasa Uhuru itakuwa hadithi ni ile ile.Mimi nimeshasema, the only difference between us and you is because most of you are too much of pussies to openly defey the ccm govt, that's it... So their is no reason to warrant extreme action from police.... Lakini zile siku wengine wenu hukosa adabu hua mnaomyeshwa cha mtema kuni
View attachment 610615
View attachment 610616 View attachment 610617 View attachment 610618 View attachment 610619 View attachment 610620 View attachment 610621 View attachment 610622 View attachment 610615
Mimi nimeshasema, the only difference between us and you is because most of you are too much of pussies to openly defey the ccm govt, that's it... So their is no reason to warrant extreme action from police.... Lakini zile siku wengine wenu hukosa adabu hua mnaomyeshwa cha mtema kuni
View attachment 610615
View attachment 610616 View attachment 610617 View attachment 610618 View attachment 610619 View attachment 610620 View attachment 610621 View attachment 610622 View attachment 610615