Jamani mbona tunatishana hivi nini lengo lenu!
21 May 2011 ni mazishi ya Shekh Yahaya
Yaani hapa nilipo natubu jamani siko nyumbani niko naaaaaaaaaaaa! Basi ok kuna yule jamaa ananidai 50m za Obama namwomba anisamehe! hiyo imekula kwake! Aafu mama Eeka Mangi unisamehe maana toka saa ile niliyoaga niko na yule binti! Dah yaani itakuwa baada ya saa 6 usiku ama?
Hakuna any breaking news kutoka AUSTRALIA,JAPAN au CHINA?, maana hawa ndo wa kwanza kuiona tar 21....
Ukute nimebaki mwenyewe tu hapa JF..,
wadau naomba mjibu angalau nijue bado tupo pamoja
bado masaa machache ifike trh 21/05/2011, hapa nimechukua mkwanja wakutosha, leo ni kula bada mpaka basi. Kiama kitanikuta baa, je wewe utakuwa wap? Unafanya nin?
ngumbaru mweupe ha ha hahaaaaaaa cjawahi ona au ni kibwetele wa marekani maana duh!!!:clock:aliyetabiri ni mmarekani
za kwenda wapi? kama c imani haba???????????Bado dakika chake wazeiya!
usiofu mkuu, au kama vp ji............ maana tayari 21/05 au saa yangu kimeo??????????