Judgment Day: May 21, 2011 (Really?)

Judgment Day: May 21, 2011 (Really?)

21 May 2011 ni mazishi ya Shekh Yahaya

Amazing so huyu ndiye mtawala wa dunia la wachawi nini ndiyo maana nyota yake kuzimika ilionekana hadi kule America nao wakadhani ndo wote tuna ingia kwenye judgement nini?
 
Yaani hapa nilipo natubu jamani siko nyumbani niko naaaaaaaaaaaa! Basi ok kuna yule jamaa ananidai 50m za Obama namwomba anisamehe! hiyo imekula kwake! Aafu mama Eeka Mangi unisamehe maana toka saa ile niliyoaga niko na yule binti! Dah yaani itakuwa baada ya saa 6 usiku ama?

hahah umenichekesha sana,ngoja uamke sunday na mdeni wako akiwa mlangoni...lol:biggrin1:
 
Mmmmh uvumi mwingine bwana! Naenda na kulala mmeharibu mood ya kuendela ku-browse.
 
Hakuna any breaking news kutoka AUSTRALIA,JAPAN au CHINA?, maana hawa ndo wa kwanza kuiona tar 21....


Ukute nimebaki mwenyewe tu hapa JF..,

wadau naomba mjibu angalau nijue bado tupo pamoja


.....duuuh!!!
 
mbona ghafla tena bila hata ya warning atakuwa ametukosea sana mungu wengine ndio kwanza maisha yanaanza kunoga. halafu hatuna hata siku nyingi za kutubu au hizi chache zilizobaki zinatosha?
 
bado masaa machache ifike trh 21/05/2011, hapa nimechukua mkwanja wakutosha, leo ni kula bada mpaka basi. Kiama kitanikuta baa, je wewe utakuwa wap? Unafanya nin?

Achana na habari za freemason wewe!!!!
 
tehe kwa jina la yesu naendelea kukata oxygen bongo hiihii na nokia yangu ndani ya mwiba wa mafisadi aka JF!
 
hivi ni kweli imepitiliza au itakuwa mchana? Mtabiri alisahau kutaja na saa.
 
usiofu mkuu, au kama vp ji............ maana tayari 21/05 au saa yangu kimeo??????????
 
Back
Top Bottom