Judgment Day: May 21, 2011 (Really?)

ndugu kuna habari zimeenea na zimetawala ktk vyombo vya habari huko majuu hususani Marekani kua mwisho wa dunia ni mwezi huu ktk tarehe hyo hapo juu, kifupi utabiri wa tarehe hii ya tukio umeanza toka mwaka 2000. Kwa mahojiana yaliyofanywa na chombo fulan cha habari kwa wachungaji na viongozi wa kidini hili jambo limeonekana geni sana na wachungaji wengi wameonyesha kutojua kinachoendelea. Je nyie wanaJF mpo? JIANDAENI KWA HILO, ZIMEBAKI SIKU 2.
 
Sahihisho
Walisema tarehe 21 na siyo 22.
Kenya kuna mzee ambaye ameamini kiasi cha kuuza kila alicho nacho na kuiacha familia yake yenye watoto wa kutosha na mke mjamzito wakiishi kwa soda na biscuits.........tena ikisha akamwambia mkewe ni bora akaahirisha kwanza kujifungua ili akajifungulie Mbinguni. Mwe!!
 
na weye umejuaje kama S.W ni uarabu.

JF pekee ndio sehemu ambapo swali ujibiwa kwa swali. kwa mtaji huu division zero zitaongezeka maradufu, inaonekana hata mitihani mashuleni mnafanya kwa style hii hii ya swali kwa swali na sio swali kwa jibu.
 
HTML:

Waache wajinga waliwe kwa kuamini ujinga.
 

Hapa MMU sidhani kama ni mahali pake,mods please.
 
ulijuaje kua ni kiarabu kama wewe sio muarabu?--kama hujaelewa "stand back and observe"

Nadhani hiyo kauli mbiu yako hapo kwenye RED ilibidi wewe ndio uitekeleze kwa vitendo. swali halijibiwi kwa swali.
 
ni tar 21 /5 mimi nimeangalia kipindi kimoja kwenye tv za majuu , naona inabadilika badilika hawachelewi kuiahirisha
 
Ndio ni kweli ndugu,mimi naenda benk kuchukua hela zangu zote
 
teh teh teh!!! tena tar 22 nina bonge la appointment!!!!
 
Wanaoishi Australia na mitaa ya huko chini
nawatakia kila lagheri maana nimeicheki hii nchi inaitwa New Zealand wanebakiza masaa kama sita tu hivi kuwa tarehe 21. ... Mungu awapokee wote Amen...

Binafsi nta kuwa hapa JF kuanzia sasa
mpaka tarehe 30 mwezi 12 mwaka2090
 
ni tar 21 /5 mimi nimeangalia kipindi kimoja kwenye tv za majuu , naona inabadilika badilika hawachelewi kuiahirisha

umeonaaaaa eehh!!

bora waipeleke mpk mwakani lbd Ivuga utaamua kutubu dhambi zako na kumkiri Kristo!!!
 
Ngoja niuze kila nilichonacho fasta nikatubu haraka nisije kukosa kuuona ufalme wa mbingu
 
Nasikilizia Australia nianze kutubu dhambi zangu fasta.
lazima nikafie kanisanni.
 
Afrodenzi huwa unaniacha hoi kwa comments zako, ful of comics ahaaa haaa haaa, kazi kweli kweli!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…