Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We unafkiri wafuasi wa huyu jamaa wamekata tamaa na maisha? wengi wao wako swafi: na si kwamba wanaamini kweli mwisho wa dunia ni huo.........wachunguze vizuri! Its fun you know, te teh teh!
Mhhhh! Hahahahaha lol! mie sitii neno hahaha...mzima wewe!? mie poa kabisa...ngoja nami nigoogle nione kama kiama kimeshaanza katika mitaa ya huko 🙂
mmmhh hapa Babati Manyara kila kitu freash my dear mmhh
info zote za google ninazo kichwani niulize tu kitu chochote
kuhusu hapa nyumbani yangu hahahahah lol
Haya AD nasikia bado masaa mawili kiama kianze hahahahah lol!
hahahah saa mbili na nusu asubuhi tarehe 22.5 hahhaahahah
kianze au kimeisha mmhhh
Unao ushahidi wa hayo maneno yako, kuwa aliwajibu kibinadamu na si kiroho?
Ziraili kasahau nini!
Imani zingine bana. Dah!
Sasa huyu jamaa atakuja na excuse gani?Hahahahaha! lol! labda kachoka yuko hoi bin taabani! na kazi aliyopewa kaiona ni kubwa mno!..cha kushangaza CNN wanaizungumzia hii kitu sasa hivi! naona ndio katika zile siku ambazo wameishiwa na habari.