Juice na unga wa ngano kutoka viwanda vya Kenya vitaingia Tanzania bila vikwazo na sementi kutoka viwanda vya Tanzania vitaingia Kenya bila vikwazo

dangote mmemuona lakini?
Cement ya dangote ikiwa sirari ni karibu 22000, ukivuka tu upande wa isebania Rai cement ni 11000 tu , labda kama dangote ataamua kuweka kiwanda Kenya
 
Cement ya dangote ikiwa sirari ni karibu 22000, ukivuka tu upande wa isebania Rai cement ni 11000 tu , labda kama dangote ataamua kuweka kiwanda Kenya
Unazungumzia kipindi alichobanwa kwenye uzalishaji kwa sasa akipata nafasi ya kuzalisha bila vikwazo ana uwezo wa kusambaza mzigo kwa bei nzuri
 
Ni moja ya products zinazotoka kwetu kwenda kenya na kubamba sana zikiwa huko
Japo kuna wakati ziliwahi kurudishwa na kebs pale namanga kwa kuwa quality ilikuwa mbaya. Kwa baadhi ya batches.
Vip kwasasa mkuu, watu hawavushi tena??? Na kama wanavusha kuna utaratibu gani?
 
Amekamata soko la Rwanda na Burundi tu, hilo la Kenya hawezi kuthubutu hata kidogo. Na hata hilo la Burundi na la Rwanda atanyang'anywa, rais wa Burundi sasa hivi yuko Kenya na yeye keshaweka dole!. Kenyatta safi!
Duuh unamuombea njaa ssb.....

Ama kweli umasikini ni laana
 
Ukiachana na nishati, vipi kuhusu mikopo ya riba nafuu huko EU, kupata mkopo wa riba ya 1-3 % huko ni kitu cha kawaida, bongo ni kiwanda gani kinaweza pata huo mkopo, SSH anatengeneza bomu la kujitakia, upuuzi mtupu.
Unapata Mkopo, alafu shughuli za kuwekeza hazipo kutokana na value for money haipo. Unazalisha bidhaaa ambazo haziwezi kushindana
 
Na mwambie ssb kapasua mawimbi huko now yupo south africa
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mkuu
 
Mkitengenezewa zenye ubora mtamudu gharama ya kuzinunua????
 
Hii poa sana. Wajitahidi kumaliza hiyo ya EPA haraka hili tuna na wigo mkubwa wa uchaguzi wa bidhaa. Kwani lini kulinda bidhaa kutaisha? sisi raia wa kawaida tumeshachoka kuwalindia matajiri wa tanzania viwanda vyao. MAMA fungua koki zote hili akili iwaingie wenye viwanda wazalishe bidhaa zenye ubora kukabiliana na ushindani.
 
Hatutafika popote



Sasa mdau unataka tufike wapi???
 
Vip kwasasa mkuu, watu hawavushi tena??? Na kama wanavusha kuna utaratibu gani?
Konyagi inavuka sana tu kwenda kenya , utaratibu ni kuwa Quality iwe ya juu
Konyagi ina alcohol level ya 35%abv , kebs wakipima wakaikuta ina 34.4% imekula kwako inarudi hata kama ulishalipa entry na fees zote.
 
Mkitengenezewa zenye ubora mtamudu gharama ya kuzinunua????
Mkuu hakuna kitu expensive kama counterfeit au low quality products ,
Low quality tiles zitakufanya kila siku ukimbizane na mafundi ku replace hizo zilizopoteza ubora

Ni bora ununue ghali lakini mara moja kuliko kurudia rudia
 
Hakuna maendeleo bila ushindani...na faida zake ziko wazi...Kama nchi kiwango cha mapato kitaongezeka kupitia Kodi itakayokuwa inalipwa kupitia bidhaa zinauzwa na tozo mbali mbali... Idadi ya wateja imeongezeka...
Sasa ni karibu ya watu milioni 120....hivyo uzalishaji na ajira vitaongezeka....bei za bidhaa zitashuka....lakini pia tutapata bidhaa bora..... mfano mzuri ni makampuni ya simu....miaka ya nyuma tuliuziwa line mpaka alfu kumi...leo line buku...lakini mbona hata Sasa ushindani upo... Azam cola...mo cola...coca cola...Pepsi....huko kwenye maji ya kunywa ndio usiseme....lita 1.5 sasa ni mia tano tu....unga wa ugali hivyo hivyo...bia leo mpaka buku jero....Kvant ....Konyagi....na kina Faru john....tuache uoga.... tena itatusaidia kwenye kupanua uelewa na ugunduzi....ukiwa mzembe biashara inakufa....tena hata hawa Tanesco watafutiwe mshindani.... hawaeleweki kabisa.
 
True bado azam naona ni juice Bora kabisa kwangu
 
Seek truth from facts. Don’t jump onto conclusion. Mkuu, Hope unajua kwamba sasa EAC ni soko moja na tuna sheria moja ya forodha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…