Bunsen Burner
JF-Expert Member
- Feb 25, 2009
- 909
- 1,101
Na mwambie ssb kapasua mawimbi huko now yupo south africa
What about influx of TZ goods in Kenya? Why sie tunajiwekaga kinyonge kinyonge tu? Sasa tunazungumzia soko la Africa. Unadhani tutaendelea kujifungia milele?Tutakuja kujua baadae kuwa hatuna rais, ila wacha tupige miruzi na vigelegele kwa Sasa!
What's going to happen is an influx of Kenyan made goods in Tz, our export will be totally reduced hence decline of our currency due to higher importation of goods than exportation.
Rais huyu anajaribu kuivua chupi nchi ili kila taifa lijipigie litakavyo, soon ujanja ujanja wa Kenya dhidi ya Tz utarudi kwa Kasi.
Hapa umechapia kabisa! Hakuna kitu kama hicho.Makubaliano ni ngano ya Kenya kuuzwa Tanzania and not vice versa. Sisi tunaruhusiwa kuuza Kenya sementi na gesi tu, siyo ngano.
Viwanda vinatakiwa vishindane kwenye free market,ukiritimba wa soko umepitwa na wakati, ambaye hawezi akae pembeni huo ndio mwelekeo wa uchumi wa dunia(survival of the fittest) na hapo ndipo mraji atapata manufaa,,kwani wewe hutaki manufaa? Swala muhimu ni Kodi za serikali zilipwe kwa ukamilifu wake.Una endorse mkataba wa EPA na EU, sisi tunapeleka nini EU hadi uruhusu bidhaa zote za EU ziingie Tz duty free ? Huyu ndio Rais atakayeua kabisa manufacturing industry ambayo ndio kwanza ilikuwa jnaanza kukomaa baada ya kazi ya muda mrefu ya Mkapa, JK na JPM.
Kenya wanajitahidi kwenye quality aisee , lakini sisi bongo ndio huwa tunapenda ujanja ujanja kwenye quality za goods zetu kwa kupenda kumlazimisha mtu anunue local manufactured substandards goods(Kwa kutumia protectionism) ,na kwa bei ambazo hata hazina unafuu,as compared to imported quality products! Tujaribu kutengeneza products zenye quality, ili ziweze kushindana na kupata masoko mazuri nje. Ubabaishaji kwa uchumi wa dunia ya leo' ni vigumu kutoboa..... That's a bitter truth ......na kazi iendelee.Umesemaje paragraph ya mwisho?
Vipi kwa wale wanaopitisha kwa njia za panya mkuu ?Konyagi inavuka sana tu kwenda kenya , utaratibu ni kuwa Quality iwe ya juu
Konyagi ina alcohol level ya 35%abv , kebs wakipima wakaikuta ina 34.4% imekula kwako inarudi hata kama ulishalipa entry na fees zote.
Soma hayo makubaliano niliyoya attach ya gazeti la Buissines Times yaliyoandikwa kwa lugha ya malikia. Natumaini lugha hiyo unaijua vizuri.Hapa umechapia kabisa! Hakuna kitu kama hicho.
Vikwazo vimeondolewa potepote kama itifaki inavyotaka.
Kwa nini unapotosha? Yaekekea una ajenda yako.
Mkuu inauma sana aisee..vita vya uchumi sio lele mama aisee...ndio maana nasema washauri wa Raisi kwenye uchumi wawe wazawa wanao own viwanda ambavyo raw materials zao ni za wakulima na wafugaji sio wachumi waliopata PHD za kwenye kiyoyozi ambao hawajawahi hata kuuza bazoka...Kosa kubwa alilofanya Magufuli ni kujaribu kuwazibua masikio wajinga.
Magufuli alikuwa anaongoza taifa la watu wajinga na wapumbavu ambao kwao uccm na uchadema ni agenda yao kuu. Ndio maana kuna mataifa yakikuwa yanasema tupeni sisi huyo mtu atuongoze walau mwezi mmoja tu.
Kila mahali alipokuwa anapita alikuwa anawaambia watu fanyeni kazi, limeni mazao muwe na chakula cha kutosha kisha ziada uzeni nje mpate fedha,! Tena akawambia usipofanya kazi ikija njaa selikali haitakupa chakula itakuacha ufe, ile ilikuwa ni kuwa encourage watu wafanye kazi, ila wajinga wakasema ni mkatili.
Akasema inauma sana kuona unaenda dukani kununua bidhaa toka nje wakati material ya hiyo bidhaa unalala nayo kila siku. Na akijaribu kuwaambia watu wekezeni viwanda vyenu kila kona ya nchi ili muzalishe bidhaa kutokana na material za sehemu husika badala ya kuuza hizo materials kisha mnarudishiwa bidhaa kwa bei juu.
Suala la sukari kwa mfano, ingekuwa nchi yenye watu wenye afya ya akili muda huu tungekuwa tunaongela tuna viwanda hata 20 vya sukari maana alipozuia sukari toka nje wenye mitaji ilitakiwa kwenda kuwekeza kwenye mashamba ya miwa na kufungua maviwanda ili kuhakikisha sasa wanateka soko lote la ndani. Badala yake wakaishia kumtukana.
Magufuli alikuwa anataka kuona badala ya watu kuuza materials na yale materials kurudi kama bidhaa na kuuziwa kwa bei ya juu basi watz wenyewe wafanye yote hayo kisha wauze bidhaa badala ya materials.
Samia anaturudisha kule kule. Yani badala ya kuhamasisha watu wafungue viwanda tuuze na sisi bidhaa yeye anahimiza hivyo vibidhaa vije kwa wingu zaidi. Hatutafika popote.
Sidhani kama unachosema ni sahihi,pitia vizuri michango yake,yuko objective sana sijawahi kuona mchango wa kijinga kutoka kwake.Huyo huwa hana akili, kifupi huwa ni mduni wa hoja na kudharau akili za wengine kujifanya anajua sana.
Kumbe tanzania tuna viwanda? JamaniViwanda vyetu havija kaa kiushindani kabisa.
Asee siijui route hiyo. Ila nafahamu ni illigal na riskyVipi kwa wale wanaopitisha kwa njia za panya mkuu ?
Itakuwaje feadher weight akashindanishwa na heavy weight kwenye mchezo wa boxing? Matokeo yake si ni kifo cha wazi?Viwanda vinatakiwa vishindane kwenye free market,ukiritimba wa soko umepitwa na wakati, ambaye hawezi akae pembeni huo ndio mwelekeo wa uchumi wa dunia(survival of the fittest) na hapo ndipo mraji atapata manufaa,,kwani wewe hutaki manufaa? Swala muhimu ni Kodi za serikali zilipwe kwa ukamilifu wake.
Sijakuelewa ili viwanda vyetu visimame vinanzia Advanced teknoloji to local au Local to Advanced tecn?Kenya wanajitahidi kwenye quality aisee , lakini sisi bongo ndio huwa tunapenda ujanja ujanja kwenye quality za goods zetu kwa kupenda kumlazimisha mtu anunue local manufactured substandards goods(Kwa kutumia protectionism) ,na kwa bei ambazo hata hazina unafuu,as compared to imported quality products! Tujaribu kutengeneza products zenye quality, ili ziweze kushindana na kupata masoko mazuri nje. Ubabaishaji kwa uchumi wa dunia ya leo' ni vigumu kutoboa..... That's a bitter truth ......na kazi iendelee.
Sijakuelewa ili viwanda vyetu visimame vinanzia Advanced teknoloji to local au Local to Advanced tecn?
Au visiwepo kabisa , au Waje wawekezaji na Advance tech? au vyote
Bams Uko sawa sawa hakuna watu majihil na wajinga kama Watanganyika yaani huyu mama anavowafanyia munaona sivyo mmezoea yule mm Raisi wa wanyonge akichanga shilingi mbili tatu kuwachangia ama kweli wajinga ndio waliwao .Mzoe Punda hapandi Farasi .Mama SSH nakupenda sana move on achana na wajinga anza kutoka ukaone mambo duniani mimi nitakupa vitu vitatu muhimu vya kuweza kuwa na maendeleo kwa haraka sana .UMEMEE (ENERGY) Bila ya kuwa na umeme wa uhakika huwezi kuwa na maendeleo tena uwe standard .Tatizo la umaskini wa maarifa, uelewa na negativity, ndiyo chanzo cha umaskini wa Watanzania wengi.
Kuifungua Tanzania na kuufanya uchumi wake uchangamane na Dunia, ndiyo njia sahihi ya kuleta kwa kasi maendeleo ya kiuchumi.
Rais Samia asimame kwenye mstari sahihi, wala asipoteze muda kusikiliza upuuzi wa wajinga wachache wasio na uelewa wowote kwenye masuala ya bishara, uwekezaji na uchumi.
Hongera sana Samia, upo kwenye njia sahihi. Tembelea nchi kama Dubai (UAE), ukapate uzoefu wao wa kina namna walivyoibadilisha nchi yao ndani ya miaka 15. Tembelea nchi kama Botswana, Singapore, Malaysia, Hong Kong upate uzoefu wao, namna biashara huru zilivyoyajenga mataifa yao. Usijifungie kama marehemu aliyekuwa akiua maendeleo ya uchumi, huku akiamini anajenga uchumi wetu kwa kasi.
Je watanzania wengi wana huo uwezo wa kununua izo ghali????Mkuu hakuna kitu expensive kama counterfeit au low quality products ,
Low quality tiles zitakufanya kila siku ukimbizane na mafundi ku replace hizo zilizopoteza ubora
Ni bora ununue ghali lakini mara moja kuliko kurudia rudia
Unaponunua kitu cha low quality , maana yake ni kuwa utatumia pesa nyingi kuliko yule aliyeamua kununua cha kitu bora kwa bei ghaliJe watanzania wengi wana huo uwezo wa kununua izo ghali????
Usiangalie nafsi yako angalia tz nzima
Waeleze Vijana hao..[emoji16][emoji16][emoji16]Mimi nilikuwapo, si kwamba nimeisoma wapi. Tulikuwa na sarafu moja ya EA. Senti moja na senti 5 zilikuwa na tobo katikati la kuzibeba kama mshikaki. Ndiyo mambo yalikuwa hivyo mtukuu wangu. Senti moja unanunua kilo ya nyama ya ng'ombe ya kwenye ubao! Tumetoka mbali mtukuu wangu. Shillingi 5 unapata dume la makisai.