Mkuu ahsante kwa muongozo. Tunakuomba utuwekee na vipimo, mfano:
# embe ngapi?
# maziwa kiasi gani?
# unga wa soya kiasi gani? wa aina gani?
# asali kiwango gani?
# maji kiasi gani?
# tangawizi.
# unatumia kwa muda gani au siku ngapi?
Tafadhali tupatie majawabu pamoja na hiyo supu ya ajabu.
Edylux
# embe ngapi?
# maziwa kiasi gani?
# unga wa soya kiasi gani? wa aina gani?
# asali kiwango gani?
# maji kiasi gani?
# tangawizi.
# unatumia kwa muda gani au siku ngapi?
Tafadhali tupatie majawabu pamoja na hiyo supu ya ajabu.
Edylux