Juice ya Miwa

Juice ya Miwa

kijazi07

JF-Expert Member
Joined
Feb 14, 2016
Posts
1,031
Reaction score
2,186
Naomben ushauri mwenyekujua aina za mashinenzuri za kukamulia wapi zinapatikana kwa hapa Dar

Pia naomba anaejua changamoto zahii biashara aweke hapa walau tuzifahamu

Naomba kuwasilisha...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nenda kariakoo gerezan kuna mpare palr anatengeneza. ...changamoto ni location mkuu..na upatikanaj wa bidhaa unasumbua..usipokuwa na nguv kwa kariakoo hupati mzigo...!labda sehem zingine...cjangamoto kubwa zimekuwa yeboyebo
 
Kama ni miwa sokoni tandale iko kibao mashine mjini k.koo ziko tena kama akitaka kuna engine jeneretor zinauzwa zinatumia petrol zina pular ya 2way unaweza weka belt ikazungusha ile propeler inayobinya muwa haina haja ya kununua mashine ya kutumia umeme
Nenda kariakoo gerezan kuna mpare palr anatengeneza. ...changamoto ni location mkuu..na upatikanaj wa bidhaa unasumbua..usipokuwa na nguv kwa kariakoo hupati mzigo...!labda sehem zingine...cjangamoto kubwa zimekuwa yeboyebo
 
biashara nzuri sana hii ukipata location nzuri na uwe msafi. kuna jamaangu mmoja anauza juice hizo naona anapiga hela balaa.

kila baada ya muda kidogo wateja wanamiminika. na jamaa anaifanya local kinyama anatumia vikombe fulani hivi havivutii.

ila ukiifanya jaribu kutafuta vikopo.fulani vya juice kama vile vya makJuice vinauzwa bei ya kawaida average ni 100 kwa kikopo.

kingine mashine hizo zinauzwa bei kubwa kidogo za manual ni kama 400k ila umeeme ni kuanzia 1M. kama unaona mtaji hautoshi unaweza kuingia mkataba na mmiliki wa mashine unakua unaenda na miwa yako kadhaa unakamua juice unaweka kwenye galoni unasepa zako.

Hii ni nzuri pia kwani unakua unajifunza biashara hii kuliko kuanza na mtaji mkubwa afu katikati ukaona biashara haikufai. all the best

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi biashara ya juice na ya matunda fresh ipi inasogea vyema?


juic ya muwa...unaweza piga sh 20000/= kwa nusu saa tu...alafu sijui ikoje...akija mtrja m1 watamiminika balaa...wakikata wamekata..akija tu tena m1 shazi
 
Usiingie gharama nyingi sana watu wanaziuza...unaweza pata nzuri tu kwa 600k au 700k...
Hzi bila shaka ni used, zipo na hali nzuri kwel? Na zina muundo upi? Kama una picha zake share mkuu
 
Naomben ushauri mwenyekujua aina za mashinenzuri za kukamulia wapi zinapatikana kwa hapa Dar

Pia naomba anaejua changamoto zahii biashara aweke hapa walau tuzifahamu

Naomba kuwasilisha...

Sent using Jamii Forums mobile app
Mm hii biashara naifanya
Mashine gerezani k.koo,bei million 1.3 Hadi 1.1 million unachukua,ni biashara nzuri ukipata location nzuri yenye mkusanyiko wa watu,unaweza ukajikuta unafanya mauzo Hadi ya laki 150 kwa siku Kama ukipata sehem unayoweza kuuza mizigo Hadi mi5 kwa cku.
Pia mashine unaweza kuchukua kwa watu ambazo zimetumika kwa bei poa ya laki 7 Hadi laki 9.
Kama utahitaji kujifunza mengi kwa vitendo kuhusu hii biashara na kama utataka location nzuri au mashine za uhakika nicheki pm nitakusaidia kwa kukushika mkono.asante
 
Mm hii biashara naifanya
Mashine gerezani k.koo,bei million 1.3 Hadi 1.1 million unachukua,ni biashara nzuri ukipata location nzuri yenye mkusanyiko wa watu,unaweza ukajikuta unafanya mauzo Hadi ya laki 150 kwa siku Kama ukipata sehem unayoweza kuuza mizigo Hadi mi5 kwa cku.
Pia mashine unaweza kuchukua kwa watu ambazo zimetumika kwa bei poa ya laki 7 Hadi laki 9.
Kama utahitaji kujifunza mengi kwa vitendo kuhusu hii biashara na kama utataka location nzuri au mashine za uhakika nicheki pm nitakusaidia kwa kukushika mkono.asante
Bless up [emoji1317]
 
Mm hii biashara naifanya
Mashine gerezani k.koo,bei million 1.3 Hadi 1.1 million unachukua,ni biashara nzuri ukipata location nzuri yenye mkusanyiko wa watu,unaweza ukajikuta unafanya mauzo Hadi ya laki 150 kwa siku Kama ukipata sehem unayoweza kuuza mizigo Hadi mi5 kwa cku.
Pia mashine unaweza kuchukua kwa watu ambazo zimetumika kwa bei poa ya laki 7 Hadi laki 9.
Kama utahitaji kujifunza mengi kwa vitendo kuhusu hii biashara na kama utataka location nzuri au mashine za uhakika nicheki pm nitakusaidia kwa kukushika mkono.asante
Hv kwa hii bei znakua na torol lake pamoja na mwamvul kabsa au ni mashine peke yake?
 
Hv kwa hii bei znakua na torol lake pamoja na mwamvul kabsa au ni mashine peke yake?
Mkuu hizi mashine zipo za aina nyingi ila ngoja nikupe ufafanuzi kidogo,Kuna mobile hyo unayosema ww ya kitoroli mara nyingi hutumia patrol co umeme maana zina move,pia Kuna mashine ambazo co mobile zinazotumia mfumo wa petrol pia,halafu Kuna hizi za kutumia umeme ambazo mara nyng wkt wakufanya biashara lazima uwe na sehemu rasmi ya kufanyia biashara,pia Kuna ya mkono,hyo ya kwako ambayo ni mobile gharama ni kubwa maana gharama za mashine ni Kama nilivyosema hlo toroli lake gharama nyngne ingawaje utapewa gharama za pa1 huwa zinaenda hadi million 2
 
Back
Top Bottom