- Thread starter
- #141
Hii si kinywaji tu ni zaid ya dawa nawashaur wazaz km unamtoto ana shida ya uzito ama malnutrition mtengenezee hii kitu wallah utashangaa ndan ya wk tu mtoto atabadlka afya yake, hata kwa wagonjwa pia nawashaur kutumia hii sharubati.
Thank you.
Sent using Jamii Forums mobile app