Hii si kinywaji tu ni zaid ya dawa nawashaur wazaz km unamtoto ana shida ya uzito ama malnutrition mtengenezee hii kitu wallah utashangaa ndan ya wk tu mtoto atabadlka afya yake, hata kwa wagonjwa pia nawashaur kutumia hii sharubati.
Maziwa mgando au fresh mkuu?Mahitaji
=Maziwa
=Tende
=Karanga unaweza pia kutumia almonds(lozi),korosho
Namna ya kutengeza.
=Toa tende makokwa
=Weka katika blender pamoja na maziwa au aina ya nuts upendayo
=Saga hadi iwe laini iwe kama uji mzito kiasi
=Weka kwa friji ipate baridi kidogo
Then enjoy juice ya tende......
ZANZIBAR karibu kila kona inapatikanammmh sijui inauzwa wapi
Ni nzuri sana kwa AFYA ya Mwili wako.Mliotumia hii juice mtupe mrejesho....
Eiwaa.Hiyo nliipata siku moja mitaa ya Michenzani, zanzibar
Usiku mmoja kwenye jokofu unatosha... Saaafi. Yaani ukiyanywa hata yale maziwa utahisi yamekorogwa rojo ya tende [emoji41]
Naam, yanakuwa yameingiliana vyema hata yale maziwa pekee yanakuwa na ladha ya tende tupu!Unamanisha unayaloweka kabla ya Ku blend??
Daaaaah......hii kitu ni ameizingi ngi ngi ngiiiiMahitaji
=Maziwa
=Tende
=Karanga unaweza pia kutumia almonds(lozi),korosho
Namna ya kutengeza.
=Toa tende makokwa
=Weka katika blender pamoja na maziwa au aina ya nuts upendayo
=Saga hadi iwe laini iwe kama uji mzito kiasi
=Weka kwa friji ipate baridi kidogo
Then enjoy juice ya tende......