Foundation
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 1,421
- 606
Hata juice za ukwaju husaidia kupata choo lailni. zoelea kula vyakula vyenye asili ya kamba kamba :der:
Ahahahaaah!!waaaoooo, ndo mana mi natafuna sana mirungi
Labda wana changanya uchafu mwingi ndo Result ya choo laini
c ndio watakua hawachukuliwi kabsa v2on,ka sa hz 2 wanalipa sh 100lakni bado wananyaswa na makonda,ndo ije iwe bure kwao,maisha ya wadogo ze2 hasa wa hapa dar yatakua magum sana.kula matunda asili mkuu...achana na kemikali hizo.kama una tatizo la choo kula papai uone kama hujapata
c ndio watakua hawachukuliwi kabsa v2on,ka sa hz 2 wanalipa sh 100lakni bado wananyaswa na makonda,ndo ije iwe bure kwao,maisha ya wadogo ze2 hasa wa hapa dar yatakua magum sana.
Yaani mimi nashangaa sana mtu mzima na akili zako ukauchafue m.***** wako na mimavi, mimi sinyi wala nini yakinibana nakomaa nayo kibishi hadi yanapotelea mbali.Choo laini cha nini? Choo kigumu ndiyo mpango mzima
khabari yake senetor banaa! umeamka na kizunguzungu ama mie ndo nna hangover? nahisi kama umepotea njia vile...[/QU Kumbe na wewe umeliona hilo! Mimi pia nimemshangaa!
pole sana ka unadhan ni sifa kufakamia mirungi.waaaoooo, ndo mana mi natafuna sana mirungi
Labda wana changanya uchafu mwingi ndo Result ya choo laini
Hata juice za ukwaju husaidia kupata choo lailni. zoelea kula vyakula vyenye asili ya kamba kamba :der: