Juice za azam zina madhara yoyote?

Juice za azam zina madhara yoyote?

Madhara yake makubwa tena utakuta wameandika 'halal' hiyo ni hatar
Waislam ni hatar kwa uhai wetu
 
Una andika hivi huku ukiwa tayari umeshaingia maabara na kutest hiyo juice ikaonekana na hizo kemikali au unaongelea majungu tu hapa? Hebu jamani tujaribu au kama si kuacha majungu tafadhali.

haandiki majungu jiulize fresh juice ukitengeneza usipoitumia kwa siku mbili inaharibika juice ya kemikali inatengenezwa mpaka imfikie mtumiaji ni mda hata miezi lakini haiharibiki na hata ukiifungua usipokunywa hata wiki iko vilevile ni nini?
 
Ili kujua kitu ni fake, ni lazima kwanza ujue original kikoje!. Juice za Azam ni fake!, ndio maana ziko cheap hivyo, hata maziwa kwenye ice cream zake pia ni fake!. Ili kujua juice za Azam ni fake, nunua Ceres onja hala angalia tofauti!. Kama ni jiuce za embe nunua Maaza!.

Anachofanya Azam ni kuweka fruit pulp kidogo tuu, kisha anajaza kemikali za food colors, artificial flavours na sweeterners, ukinywa utaisikia inakereketa!. Hii ni kwa some juices, zile zilizo bora ndizo zilizopelekwa TBC na kupata nembo ya ubora wa TBS, Kenye walipopokea mzigo wa Azam, wakaupima, wakagundua ni fake!, hazina viwango, wakapiga marufuku juices za Azam.

Kutengeza juice home nayo ni changamoto!, kwanza you have to love eating natural organic products, then you can do anything in the name of love.

Pasco

umenikumbusha mbali nilikuwa napenda sana maaza ni juice nzuri sana
 
Back
Top Bottom