Mhandisi Mzalendo
JF-Expert Member
- Aug 23, 2010
- 6,682
- 11,461
nguvu za kiume je?
Hapo changanya na tui la nazi kidogo, uone mlango mwingine wa fahamu USIOJULIKANA utakavyokusumbua
Tui la nazi tena? Sasa hiyo ni juice au mchuzi?
Juice na mchuzi vyote ni vimiminika, tofauti ni uaandaaji tu. Hope we ni mwanaume wa Dar
ZAMANI JF WALIKUA WANAJADILI MAMBO BILA MASKHARA NA UJINGA...Mimi ni crossbreed ya dar na mkoani.
[emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39]
HUU UZI WA 2014 LAKINI HAMNA COMMENT HATA MOJA YA KIPUUZI ZAIDI YA ZENU MLIZONGEZA 2018.
YOU CAN IMAGINE JF INAVYOPOROMOKA...
N.B.
NIMEWAANDIKIA MIHERUFI MIKUBWA KWA MSISITIZO.
USELESS KABSA.