Juisi ya msumbiji na kiti Binafsi kanisani!Ni dhahiri Ndugu yetu ana hofu!!anaogopa Nini!?

NAMBA MOJA AJAYE NCHINI

JF-Expert Member
Joined
Oct 29, 2019
Posts
9,863
Reaction score
20,806
Wakuu kwa wenye akili timamu wanaweza kujiuliza anaogopa nini!?

Juisi hakutaka kunywa hadi mwenyeji wake ainywe kwanza! Kelele mitandaoni kibao tukaona ni vituko vya kawaida! Juzi kwenda na kiti chake! Haamini kiti cha upako!?

Ina maana haamini viti vya washirika hadi awe na chake!?

Anaogopa nani, nini, kwanini, kwa lengo lipi!?

Mungu ibariki Tanzania!
 
Acheni hayo mambo wakuu sio saizi yetu na sio mahali pake hapa
 
Heading ina hoja
Kwenye content naona ungeandika zaidi kujenga hoja
 
Anaogopa katiba, mpango anaweza kuokota dodo.
Yaliyompata JPM huyajui mkuu
 
Kwani wewe unataka umfanye nini hasa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…