akajaseh mbambah
Member
- Jun 11, 2021
- 6
- 1
Kama tukitambua kuwa kama wananchi tuna majukumu kadhaa ya kuweza kusaidia kuinua uchumi wa serikali yetu na kusaidia katika ukusanyaji wa kodi. je ni wangapi hukumbuka kudai risiti wanaponunua bidhaa mbalimbali au kupata huduma?
Je, tunafahamu ni kiasi gani tunajiibia kwa kutokuwa tayari kudai risiti halali na pia kuwafaidisha wafanyabiashara wasio waaminifu? Watanzania tunapaswa kuanza uzalendo kwanza sisi kama wananchi halafu tuweze dai kwa watendaji wasio wazalendo.
Kodi ni kwa maendeleo ya taifa.
Je, tunafahamu ni kiasi gani tunajiibia kwa kutokuwa tayari kudai risiti halali na pia kuwafaidisha wafanyabiashara wasio waaminifu? Watanzania tunapaswa kuanza uzalendo kwanza sisi kama wananchi halafu tuweze dai kwa watendaji wasio wazalendo.
Kodi ni kwa maendeleo ya taifa.