Kuna miswada mitatu ya sheria iko bungeni, lakini sijaona hata thread moja kwenye hili jukwaa kuhusiana na hili naona inajadiliwa kwenye jukwaa la siasa. Vp wanasheria chambueni hii miswada hapa jukwaani nini tafsiri yake kwa maslahi mapana ya nchi?
Parliament of Tanzania
Parliament of Tanzania