Jukwaa la Katiba (JUKATA) kufanya maandamano nchi nzima kushinikiza kurejeshwa mchakato wa katiba mpya

Hivi hawa wamekosa ya kufanya? Raisi alishasema ananyoosha nchi kwanza au hawakumuelewa?
 
Umoja ni nguvu. Tuungane pamoja kupata mstakabali wa nchi yetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…