Jukwaa la mapenzi lavunja ndoa

Jukwaa la mapenzi lavunja ndoa

Nyani Ngabu

Platinum Member
Joined
May 15, 2006
Posts
94,296
Reaction score
122,540
Taarifa zinazonifikia sasa hivi ni kuwa kuna dada mmoja rafiki wa rafiki yangu uhusiano wake wa kimapenzi umevunjika. Kisa na mkasa yeye na patna wake wamestukiana kuwa wako humu kwa kutumia multiple ids na wamekuwa wakidanganyana hadi kufikia hatua ya kutumiana pm ndipo walipogundua kuwa ndio hao hao
 
hahahahahahahah ma infii utawajua tu..lol
 
Whats BTK....what r u trying to say...?
 
Cheni bandia fedha feki..ngoma droo
 
Back
Top Bottom