Jukwaa La Mapishi, Food Corner

Sita Sita

JF-Expert Member
Joined
Aug 25, 2008
Posts
1,397
Reaction score
520
Hello Mods

I think you will agree with me kwamba hamna kitu muhimu hapa duniani kama Kula (apart from Praying and Believing in your Religions)

Watu wa dini na makabila tofauti wanaweza kuunganishwa na chakula.

Chakula kina part yake kwenye mapenzi.

Chakula ni symbol tosha ya utamaduni wa mtu.

Kuzingatia hayo.

Naomba mods muanzishe jukwaa maalum kwa ajili ya watu kuweka Recipes mbalimbali. Wengi humu ndani hatujui utundu wa kuandaa chakula. Itakua vizuri sana kama hili jukwaa litakuwepo ili tuweze kushare experience.

Wengine tunakula mikate kila siku kwa kuwa hatujui namna ya kuandaa breakfast mbalimbali.

Nawasilisha
 
Nilwahi kuona mtu mmoja alitoa maoni kama haya sijui iliishia wapi. MODs tusaidieni
 
Jamani majukwaa yatakuwa mengi, haya tu yaliyopo mengine hayana wachangiaji!
 
mi naona ingewekwa kama sub-forum kwenye jukwaa la JF Doctor........:tongue:

tukianzia hapa hapa.....hebu tuanze na makange.......dude nalipenda kweli ila sijui linapikwaje vile......
 
He! Kuna group la mapishi. Na mimi ni mwanachama ila kumedoda huko.
 
mi naona ingewekwa kama sub-forum kwenye jukwaa la JF Doctor........:tongue:

tukianzia hapa hapa.....hebu tuanze na makange.......dude nalipenda kweli ila sijui linapikwaje vile......

Dah umenikumbusha makange ya Rose Garden na Club ya Salenda wanapika hii kitu sijawahi kuona nimejaribu nimeshindwa
 

Wazo zuri sana,itatusaidia na mabachelor pia
 
Jamani majukwaa yatakuwa mengi, haya tu yaliyopo mengine hayana wachangiaji!

Yes yatakuwa mengi,ila kuna majikwaa mimi sioni umuhimu wake kwa sasa mfano:-
1.Dini/Imani (hili jukwaa la kukwazana kiimani sio kukuzana,halifai)
2.Mambo ya kikubwa
3.Matangazo madogo madogo
4.Jamii photos

Kama majukwaa yatakuwa mengi basi moja kati ya haya yaondolewe ila priority ni kwa hayo mawili ya kwanza
 
Dah umenikumbusha makange ya Rose Garden na Club ya Salenda wanapika hii kitu sijawahi kuona nimejaribu nimeshindwa

hao hapo kwenye blue ni kiboko hasa la kuku unaweza ukazimia kwa utamu

waungwana,mwenye recipe yake atupe basi
 

labda la dini, lakini hayo mengine ni burudani hasa hilo nililobold na blue........ngoja wenye jukwaa wakusikie
 
hao hapo kwenye blue ni kiboko hasa la kuku unaweza ukazimia kwa utamu

waungwana,mwenye recipe yake atupe basi

mhandisi,,kuja pande hii nikupe hiyo maneno ingawa bado nna hasira,,lolz:nod:
 
labda la dini, lakini hayo mengine ni burudani hasa hilo nililobold na blue........ngoja wenye jukwaa wakusikie

Hahaha,ila kama watataka kutoa moja basi watoe la dini,wakitaka kutoa mawili watoe dini + jukwaa la wakubwa!

Me nilikuwa natembelea huko lakini duh,ni balaa
 
Hahaha,ila kama watataka kutoa moja basi watoe la dini,wakitaka kutoa mawili watoe dini + jukwaa la wakubwa!

Me nilikuwa natembelea huko lakini duh,ni balaa

Maria Rosa, Mchonga, El-Toro n.k wataua mtu mkitoa jukwaa la wakubwa. Kwenye dini sijui kama Max Shimba, Marytina Gavana et al watawaelewa...
 
Kuhusu jukwaa la mapishi naunga mkono hoja, mwenzenu kila siku naunguza...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…