Jukwaa la wakubwa liko wapi?

Hilo jukwaa halipo...baada ya kufanya uchunguzi wangu wa kina kabisa nimethibitisha hilo jukwaa halipo,ni dhana ya kuhamasisha wanajukwaa tu.kama kuna mwenye ushahisi a screen shot hilo jukwaa...
 
Hilo jukwaa halipo...baada ya kufanya uchunguzi wangu wa kina kabisa nimethibitisha hilo jukwaa halipo,ni dhana ya kuhamasisha wanajukwaa tu.kama kuna mwenye ushahisi a screen shot hilo jukwaa...
[emoji23] [emoji23] [emoji23] huna sifa za kupata hata screenshot

Sent from my iPhone6 using JamiiForums mobile app
 
ushimen kwenye kila post yako nikiiona picha yako nacheka halafu wambie wasisumbuke kuna kiingilio cha 15000 watume kwenye namba hii 676543 m pesa

mchokozi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…