Phrasal Verbs
JF-Expert Member
- Jul 3, 2013
- 245
- 263
Ulishawahi kuwepo kwenye jukwaa hilo?kweli tumepishana jaman!sipend ht mtu nnayempenda kikawaida awepo jukwaa hilo...yaan duh!..@demi naskia upogoππ...!ππππ
U
Ulishawahi kuwepo kwenye jukwaa hilo?
Unaongeza maufundi tu Mkuunimekosa nn mkuu...hapana sijawah
Hata mimi huwa silipendi hilo jukwaa. Niliwaomba mods waniunge jukwaa la dini matokeo yake wakaniunga jukwaa la wakubwanimekosa nn mkuu...hapana sijawah
Hata mimi huwa silipendi hilo jukwaa. Niliwaomba mods waniunge jukwaa la dini matokeo yake wakaniunga jukwaa la wakubwa
kweli tumepishana jaman!sipend ht mtu nnayempenda kikawaida awepo jukwaa hilo...yaan duh!..@demi naskia upogo
[emoji1][emoji1][emoji1]uwe tayari kuyaona utakayoyaona,
Pia usilete nasaha za ulokole huko,
pia uwe tayari kutuma picha za wwe na mkeo/demu wako liiiiive bila chenga mkigongana
Nilijitoa baada ya kuokoka, now nataka kurudi wamenigomea. Jukwaa linaboa sana lile yaani limezubaa watazamaji ni wengi kuliko wachangiaji.kweli tumepishana jaman!sipend ht mtu nnayempenda kikawaida awepo jukwaa hilo...yaan duh!..@demi naskia upogo[emoji23][emoji23]...![emoji53][emoji57][emoji57][emoji57]
Nilijitoa baada ya kuokoka, now nataka kurudi wamenigomea. Jukwaa linaboa sana lile yaani limezubaa watazamaji ni wengi kuliko wachangiaji.
Nilijitoa baada ya kuokoka, now nataka kurudi wamenigomea. Jukwaa linaboa sana lile yaani limezubaa watazamaji ni wengi kuliko wachangiaji.
Hongera sana kwa kutopenca porn ina haribu akili. Juzi juzi tu hapa nilitaka kuokoka sijui nini kimenirudisha nyuma, shetani ashindwe kabisa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]shoga uliokoka lini?[emoji23][emoji23]kama linaboa mbn wataka kurudi?khaa ww mtoto wewe..hufananii kbs[emoji23][emoji23]..hakuna kitu ambcho sipend km porn..eti nachefukwa na yale mapicha..nataka kitu live basi..aku
Hongera sana kwa kutopenca porn ina haribu akili. Juzi juzi tu hapa nilitaka kuokoka sijui nini kimenirudisha nyuma, shetani ashindwe kabisa
Kuna kipindi maisha yanakupiga unaona Bora ujisalimishe kwa sir God. Ila inataka moyo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]....nacheka tu mm...umri wa kuokoka bado bwana..wenzako wanaokokaga at 50age..unatulia tuliii
Kuna kipindi maisha yanakupiga unaona Bora ujisalimishe kwa sir God. Ila inataka moyo