Jukwaa la walimu wanaofanya kwazi mkoa wa kilimanjaro

Jukwaa la walimu wanaofanya kwazi mkoa wa kilimanjaro

Gm1

Member
Joined
Oct 12, 2021
Posts
11
Reaction score
10
habari, nimewaza nikaona uhitaji mkubwa wa walimu wa nje ya mkoa wa kilimanjaro wanaotaka wa kubadilishana nao ndani ya mkoa wa kilimanjaro, na waliopo ndani ya mkoa wa kilimanjaro wanataka kutoka nje ya mkoa wa kilimanjaro. . Kama wewe ni mwalimu au unaukaribu na mwalimu aliepo mkoani kilimanjaro na angependa kupata mtu wa kubadilishana nae nje ya mkoa basi comment mkoa unaotaka kwenda na idara ili wenye uhitaji wakuone kisha tusamabaze wengine waone ikiwezekana tuunde group rasmi kwaajili ya waalimu waliopo mkoani kilimanjaro
 
Hivi ni akili kwelii mgogo anayefundisha shule ya msingi samanga pale jimboni vunjo akubali kurudi shule ya msingi ugogoni iliyopo pale jimboni kongwa ???? Inaingia akilini kweli??

Au madam ngiliule wa shule ya sekondari mailisita akubali kurudi kwao jimboni kibakwe akafundishe shule ya sekondari mbuga kweliiii??????[emoji38][emoji38][emoji38]
 
Hivi ni akili kwelii mgogo anayefundisha shule ya msingi samanga pale jimboni vunjo akubali kurudi shule ya msingi ugogoni iliyopo pale jimboni kongwa ???? Inaingia akilini kweli??

Au madam ngiliule wa shule ya sekondari mailisita akubali kurudi kwao jimboni kibakwe akafundishe shule ya sekondari mbuga kweliiii??????[emoji38][emoji38][emoji38]
Umekariri
 
Inshort mleta mada yupo Tanga anataka kuhamia Moshi.
ni kigezo ila si sana , nimefuatilia nimegundua waalimu wengi wanataka kuhamia mkoa wa kilimanjaro ila hawapati taarifa za watumishi wenzao wanaotaka kutoka kilimanjaro, hii n moja ya dodoso zangu fupi baadae nitapata ufumbuzi wa haya. Tanga na moshi n masaa 5 luxury bus n 16,000 na Costa n chini ya 15 hadi 12000 kwahiyo sio shida sana kwangu kuwepo Tanga.
 
Nilikua mkoa Bagamoyo nikahamia mkoa wa Kilimanjaro, Marangu huku...najuta....kupaya kupindukia, baridi kali barabara mbovu na shule hazina walimu...watu ni kunywa mbege tu
 
Nilikua mkoa Bagamoyo nikahamia mkoa wa Kilimanjaro, Marangu huku...najuta....kupaya kupindukia, baridi kali barabara mbovu na shule hazina walimu...watu ni kunywa mbege tu
nitafte uende Tanga ukaenjoy mwl aje hapo marangu kama uko msingi
 
nitafte uende Tanga ukaenjoy mwl aje hapo marangu kama uko msingi
Familia yangu iko Moshi mjini...natafuta mtu wa Moshi mjini au vijijini shule za karibu Moshi mjini.
Naweza gharamikia uhamisho wote
Asante
 
habari, nimewaza nikaona uhitaji mkubwa wa walimu wa nje ya mkoa wa kilimanjaro wanaotaka wa kubadilishana nao ndani ya mkoa wa kilimanjaro, na waliopo ndani ya mkoa wa kilimanjaro wanataka kutoka nje ya mkoa wa kilimanjaro. . Kama wewe ni mwalimu au unaukaribu na mwalimu aliepo mkoani kilimanjaro na angependa kupata mtu wa kubadilishana nae nje ya mkoa basi comment mkoa unaotaka kwenda na idara ili wenye uhitaji wakuone kisha tusamabaze wengine waone ikiwezekana tuunde group rasmi kwaajili ya waalimu waliopo mkoani kilimanjaro
habari, nimewaza nikaona uhitaji mkubwa wa walimu wa nje ya mkoa wa kilimanjaro wanaotaka wa kubadilishana nao ndani ya mkoa wa kilimanjaro, na waliopo ndani ya mkoa wa kilimanjaro wanataka kutoka nje ya mkoa wa kilimanjaro. . Kama wewe ni mwalimu au unaukaribu na mwalimu aliepo mkoani kilimanjaro na angependa kupata mtu wa kubadilishana nae nje ya mkoa basi comment mkoa unaotaka kwenda na idara ili wenye uhitaji wakuone kisha tusamabaze wengine waone ikiwezekana tuunde group rasmi kwaajili ya waalimu waliopo mkoani kilimanjaro
Njoo Moshi Manispaa idara ya msingi nije Babati Vijijini
Mawasiliano.
0684668425
 
Njoo Moshi Manispaa idara ya msingi nije Babati Vijijini
Mawasiliano.
0684668425
 
Njoo Moshi Manispaa idara ya msingi nije Babati Vijijini
Mawasiliano.
0684668425
 
Njoo Moshi Manispaa idara ya msingi nije Babati Vijijini
Mawasiliano.
0684668425
 
Njoo Moshi Manispaa idara ya msingi nije Babati Vijijini
Mawasiliano.
0684668425
 
Back
Top Bottom