Ni kweli kabisa. Nadhani kuna tatizo la afya ya akili ktk jamii yetu. Sio bureUkiendekeza sana ushabiki unapoteza akili. Wengi humu wapo timamu ila unapoleta simba na yanga watu wanajitoa ufahamu.
Nitaandika kwa hekima na tafakuri jadidi lakini bado nitahakikisha maslahi kwa timu yangu ya Mnyama yanazingatiwa na kulindwa vilivyo..!Ukifuatilia michango ya members hapa jukwaani utagundua kuwa wengi hawana vifua vya kuvumilia hoja au mada zenye habari/ujumbe wenye mlengo tofauti na timu zao ktk kipindi husika. Matokeo yake ni kujaa kwa matusi na dhihaka.
Nashauri tujikite kujadili mada kwa hoja na sio mihemko/uhayawani. Vinginevyo tunalichafua jukwaa hili muhimu. Kama huna cha kuandika ni bora ukae kimya au usome michango ya wenye akili timamu.
Utani si kitu kibaya. Lkn kuandika kwa makusudi ya kukera ni mbaya sana.Nitaandika kwa hekima na tafakuri jadidi lakini bado nitahakikisha maslahi kwa timu yangu ya Mnyama yanazingatiwa na kulindwa vilivyo..!
Mara moja moja nitawatania Yanga kama mtani na timu pinzani ya SIMBA ila sitaweza kuweka dhihaka za kukera maana michezo no furaha.. Michezo inatuunganisha imani zetu, itikadi zetu na asili zetuView attachment 2776405
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa Mkuu. Kikubwa busara iwepo kwenye michango yetu. Tuache matusi hasa pale timu zetu zinapopata matokeo (bila kujali yamepatikanaje)Kuna kipindi timu yako ikiwa inapata au kukosa matokeo uwe makini ku comment.
Simba tangu msimu umeanza imekua ikipata matokeo kutokana na mapungufu ya maamuzi, hali kama hii ilianza kwenye ngao ya jamii mpaka sasa.
Huwezi kusema ni bahati mbaya kwa mechi zaidi ya nne.
Haiwezi kuwa bahati mbaya kwa timu kufunga magoli ya offside lakini na yenyewe iyo timu ikifungwa magoli halali yanakua offside.
Sisi kama wadau tunacho hitaji ni fair play, Simba wasionewe wala asi bebwe.
Ata kama ita bebwa bado haita weza kutwaa ubingwa kwakua inamapungufu mengi zaidi ni marefa kudhalilika.
Hapa ndipo penye tatizo kwa wengi kushindwa kutofautisha utani na dhihaka/udhalilishaji.ila sitaweza kuweka dhihaka za kukera
Kuna watu wa ajabu sana humuHapa ndipo penye tatizo kwa wengi kushindwa kutofautisha utani na dhihaka/udhalilishaji.
Unakuta mtu unaandika utani wa kawaida wenye staha lakini jitu linakuja na majibu kama vile vita maana anatukana ukoo wako mzima.
Sawa na ahsanteUtakavyokuja na maoni yako ndio namna utajibiwa
Tabu sanaHili tatizo ni la muda mrefu so jukwaa la michezo hata jukwaa la siasa.
Kuna baadhi ya watu badala ya kujadili hoja wanakimbilia matusi na mods wapo kimya.
Wanaotukana matusi ni wachache Sana lakini wameachiwa kutamba.
DaaaahNilitamani nianzie kufundisha hapa Jamii forum kwa maswali na majibu kuhusu......
1. Coaching.
2. MIFUMO ya mpira wa Miguu.
3. Sheria Moja Moja ya Mpira wa Miguu kwa maswali na majibu.
4. Historia ya Mpira wa Miguu.
5. Scauting ya mchezaji mzuri.
6. Elimu ya analysis ya mpira wa Miguu nk
ILA NILICHOGUNDUA MASHABIKI WENGI WA YANGA NI MAPUMBAFU NA HAYAFUNDISHIKI.
Naona umechaji sana"MASHABIKI WA YANGA NI MAMBWA HAKUNA LOLOTE WANALOJUA KUHUSU KANDANDA ILA MUDA WOTE WANAZOMEA TU UTADHANI MANYANI"
- DR LUC EYMAEL 2020