Ukifuatilia michango ya members hapa jukwaani utagundua kuwa wengi hawana vifua vya kuvumilia hoja au mada zenye habari/ujumbe wenye mlengo tofauti na timu zao ktk kipindi husika. Matokeo yake ni kujaa kwa matusi na dhihaka.
Nashauri tujikite kujadili mada kwa hoja na sio mihemko/uhayawani. Vinginevyo tunalichafua jukwaa hili muhimu. Kama huna cha kuandika ni bora ukae kimya au usome michango ya wenye akili timamu.
Nashauri tujikite kujadili mada kwa hoja na sio mihemko/uhayawani. Vinginevyo tunalichafua jukwaa hili muhimu. Kama huna cha kuandika ni bora ukae kimya au usome michango ya wenye akili timamu.