Nedlloyd
JF-Expert Member
- Mar 29, 2014
- 10,361
- 27,215
Uchebe.Julia PastranaView attachment 3160737
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uchebe.Julia PastranaView attachment 3160737
Oya huyu demu mbona mzuri, ah kwa sababu ya hizo nywele, wamama wengi wa kiafrica mbona wana ndevu
Kuna Wanawake wa kihindi wengi nimewaona kabisa live , sema huku waliko hakuna mwenye taimu ya kushangaa....Oya huyu demu mbona mzuri, ah kwa sababu ya hizo nywele, wamama wengi wa kiafrica mbona wana ndevu
Kuna maza mmoja nilikutana nae magomeni kwenye daladala, ile kukaa siti moja nae, moyo ukishtuka. Sio kwambaa ana ndevu sehemu zote, mpaka kifuani, wakati namshangaa akanikata jicho nikajikuta tu namwamkia "shikamoo bi mkubwa"
Akanikata jicho moja kali, nilishuka kituo kinachofuata
Sasa huyu ana ubaya gani, wakati unakula mzigo unahangaika kukaba shingo Kuna mademu wana shingo nene, huyu unashikilia ndevu tu....Kuna Wanawake wa kihindi wengi nimewaona kabisa live , sema huku waliko hakuna mwenye taimu ya kushangaa....
View attachment 3160749
Kwa kweli, hata mimi nimeshangaa hana ubaya wowote. Wamemuonea Julia wa watu. Mume wake alikuwa anampenda, anajilia mzigo kwa raha zake.Oya huyu demu mbona mzuri, ah kwa sababu ya hizo nywele, wamama wengi wa kiafrica mbona wana ndevu
Kuna maza mmoja nilikutana nae magomeni kwenye daladala, ile kukaa siti moja nae, moyo ukishtuka. Sio kwambaa ana ndevu usoni tu, mpaka kifuani, wakati namshangaa akanikata jicho nikajikuta tu namwamkia "shikamoo bi mkubwa"
Akanikata jicho moja kali, nilishuka kituo kinachofuata
Sure mfano mimi nikionaga heading flan naangalia nani kapost,nikiona ni name ya jamaa mwenye mambo ya kitoto sana aitwae magic powder huwa siifungui kabisa.Kuna watu wanasoma heading wanafungua thread alafu wanasoma jina lako ili kuhusianisha na uelewa wako juu ya habari uliyoitoa.
Wakiona ni nonsense wanakupotezea. ila sisi WACHOKONOOOOZIIII!!!!, Tunakwambia tuu habari yako bila picha ni kama mfuta ubao tuu darasani sifa yako ni urefu wa kimo😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆
Kuna mama anatuuziaga chapati anafanananae sanaMbona anafanana na sura za wamama wengi wa kiafrica
Huyu hana sura mbaya sio kweli
Nakubaliana na weweKuna mama anatuuziaga chapati anafanananae sana