Juliana Masaburi ampongeza Rais Samia kwa Uwekezaji wa zaidi ya Tsh. Bilioni 400 Katika bandari ya Mtwara

Juliana Masaburi ampongeza Rais Samia kwa Uwekezaji wa zaidi ya Tsh. Bilioni 400 Katika bandari ya Mtwara

Stephano Mgendanyi

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2020
Posts
2,833
Reaction score
1,301
WhatsApp Image 2024-10-06 at 13.32.15.jpeg

Mbunge wa Viti Maalum (Vijana Taifa), Mhe. Juliana Didas Masaburi amefanya ziara katika Bandari ya Mtwara ambapo aliambatana na Baraza la Vijana la Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi Mkoa wa Mtwara.

Katika ziara hiyo akiwa na Mwenyekiti wa UVCCM Mkoa wa Mtwara Komredi Abuu Athumani, Mhe. Juliana Masaburi amempongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa uwekezaji wa miundombinu wa zaidi ya shilingi Bilioni 400 katika Bandari ya Mtwara, uwekezaji ambao unachochea Maendeleo.

Katika hatua nyingine, Mhe. Juliana Masaburi amempongeza Meneja wa Bandari ya Mtwara, Ndugu Fernand Nyati kwa kusimamia vyema Bandari ya Mtwara na kujipanga kwa maandalizi ya kusafirisha Korosho kwa kupokea Meli zaidi ya 3 zenye makasha ya kusafirisha Korosho hizo.

Naye, Mwenyekiti wa UVCCM Mkoa wa Mtwara, Komredi Abuu Athumani amesema wameamua kumleta Mgeni, Mhe. Juliana Masaburi kutembelea Bandari ya Mtwara ili aone uwekezaji wa Serikali na Baraza la Vijana lipate la kujifunza kupitia Bandari hiyo.

WhatsApp Image 2024-10-06 at 13.32.17.jpeg

Mbunge Juliana Didas Masaburi ameenda Mtwara kwaajili ya kushiriki Kikao cha Baraza la Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi Mkoa wa Mtwara kilichofanyika 05 Oktoba, 2024 katika Ukumbi wa Bandari ya Mtwara

Aidha, Mhe. Juliana Masaburi akiwa katika Kikao cha Baraza la UVCCM Mkoa wa Mtwara ametoa kiasi cha shilingi Milioni Moja (1,000,000) na Matofali 1000 kwaajili ya ujenzi wa nyumba ya Katibu wa UVCCM Mkoa wa Mtwara na pia, amegawa vyeti vya pongezi kwa wadau wa UVCCM Mkoa wa Mtwara.

WhatsApp Image 2024-10-06 at 13.32.18.jpeg
WhatsApp Image 2024-10-06 at 13.32.16(1).jpeg

#KijanaNaKijani
#TunazimaZoteTunawashaKijani
#TunaendeleaNaMama.
#KaziIendelee
 

Attachments

  • WhatsApp Image 2024-10-06 at 13.32.19(1).jpeg
    WhatsApp Image 2024-10-06 at 13.32.19(1).jpeg
    174.1 KB · Views: 4
  • WhatsApp Image 2024-10-06 at 13.32.15(1).jpeg
    WhatsApp Image 2024-10-06 at 13.32.15(1).jpeg
    195.4 KB · Views: 7
  • WhatsApp Image 2024-10-06 at 13.32.16.jpeg
    WhatsApp Image 2024-10-06 at 13.32.16.jpeg
    167.6 KB · Views: 4
  • WhatsApp Image 2024-10-06 at 13.32.18(1).jpeg
    WhatsApp Image 2024-10-06 at 13.32.18(1).jpeg
    157.8 KB · Views: 4
Hii bandari ni kwa ajili Ya kusafirisha korosho tu au kuna kitu kingine? Naona kama haiwezeshwi kiuchumi kila kitu Dar.
 

Mbunge wa Viti Maalum (Vijana Taifa), Mhe. Juliana Didas Masaburi amefanya ziara katika Bandari ya Mtwara ambapo aliambatana na Baraza la Vijana la Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi Mkoa wa Mtwara.

Katika ziara hiyo akiwa na Mwenyekiti wa UVCCM Mkoa wa Mtwara Komredi Abuu Athumani, Mhe. Juliana Masaburi amempongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa uwekezaji wa miundombinu wa zaidi ya shilingi Bilioni 400 katika Bandari ya Mtwara, uwekezaji ambao unachochea Maendeleo.

Katika hatua nyingine, Mhe. Juliana Masaburi amempongeza Meneja wa Bandari ya Mtwara, Ndugu Fernand Nyati kwa kusimamia vyema Bandari ya Mtwara na kujipanga kwa maandalizi ya kusafirisha Korosho kwa kupokea Meli zaidi ya 3 zenye makasha ya kusafirisha Korosho hizo.

Naye, Mwenyekiti wa UVCCM Mkoa wa Mtwara, Komredi Abuu Athumani amesema wameamua kumleta Mgeni, Mhe. Juliana Masaburi kutembelea Bandari ya Mtwara ili aone uwekezaji wa Serikali na Baraza la Vijana lipate la kujifunza kupitia Bandari hiyo.


Mbunge Juliana Didas Masaburi ameenda Mtwara kwaajili ya kushiriki Kikao cha Baraza la Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi Mkoa wa Mtwara kilichofanyika 05 Oktoba, 2024 katika Ukumbi wa Bandari ya Mtwara

Aidha, Mhe. Juliana Masaburi akiwa katika Kikao cha Baraza la UVCCM Mkoa wa Mtwara ametoa kiasi cha shilingi Milioni Moja (1,000,000) na Matofali 1000 kwaajili ya ujenzi wa nyumba ya Katibu wa UVCCM Mkoa wa Mtwara na pia, amegawa vyeti vya pongezi kwa wadau wa UVCCM Mkoa wa Mtwara.


#KijanaNaKijani
#TunazimaZoteTunawashaKijani
#TunaendeleaNaMama.
#KaziIendelee
Apewe UWAZIRI bila kuchelewa
 
Back
Top Bottom