Pre GE2025 Julius Mtatiro jiandae kutenguliwa

Pre GE2025 Julius Mtatiro jiandae kutenguliwa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
49,390
Reaction score
152,301
Kwa maoni yako ya kutaka Wakili Nkuba akubali kushindwa kwenye uchahuzi wa Rais wa Tanganyika Lawa Society(TLS), ulifiofikia tamati siku ya jana, jiandae kutenguliwa nafasi yako wakati wowote kuanzia sasa.

Madaraka ya kuhudumu at the pleasure of someone else, yanakupa kila kitu isipokuwa uhuru wa maoni.

Subiri mkeka ujao au hata kabla ya hapo.
Nafasi yake nimeshaichukua tayari, asuburie tu utenguzi
 
Kwa maoni yako ya kutaka Wakili Nkuba akubali kushindwa kwenye uchahuzi wa Rais wa Tanganyika Lawa Society(TLS) ulifiofikia tamati siku ya jana, jiandae kutenguliwa nafasi yako wakati wowote kuanzia sasa.

Madaraka ya kuhudumu at the pleasure of someone else, yanakupa kila kitu isipokuwa uhuru wa maoni.

Subiri mkeka ujao au hata kabla ya hapo.
Ohooooooo!!!!
 
Kwa maoni yako ya kutaka Wakili Nkuba akubali kushindwa kwenye uchahuzi wa Rais wa Tanganyika Lawa Society(TLS) ulifiofikia tamati siku ya jana, jiandae kutenguliwa nafasi yako wakati wowote kuanzia sasa...
Labda hakutumwa.....ila kama ametumwa na kuropoka vile ataliwa tuuu....achunge ulimi wake........njaa mvaya sanaa Nawanda sasa anajuta utakuta anaswalii sasa......madaraka pesa bure rahaaa buana asikwambie mtuuu
 
Nchi hii ni ya kidemokrasia. Kila mtu ana haki ya kutoa maoni. Kuwa kiongozi wa serikali siyo kwamba umefungwa kamba kufikiri na kutoa maoni. Kama ni hivyo SITAKI kuwa kiongozi wa kuteuliwa. Kama pesa mtaani sasa kuna pesa nyingi tu. Pambana.
 
Kwa maoni yako ya kutaka Wakili Nkuba akubali kushindwa kwenye uchahuzi wa Rais wa Tanganyika Law Society(TLS) ulifiofikia tamati siku ya jana, jiandae kutenguliwa nafasi yako wakati wowote kuanzia sasa.

Madaraka ya kuhudumu at the pleasure of someone else, yanakupa kila kitu isipokuwa uhuru wa maoni.

Subiri mkeka ujao au hata kabla ya hapo.
ukisikia Uchawi ndio huu
 
Kwa maoni yako ya kutaka Wakili Nkuba akubali kushindwa kwenye uchahuzi wa Rais wa Tanganyika Law Society (TLS) ulifiofikia tamati siku ya jana, jiandae kutenguliwa nafasi yako wakati wowote kuanzia sasa.

Madaraka ya kuhudumu at the pleasure of someone else, yanakupa kila kitu isipokuwa uhuru wa maoni.

Subiri mkeka ujao au hata kabla ya hapo.

Pia soma: Julius Mtatiro: Nikiwa kama kampeni Meneja wa Wakili Nkuba nimemshauri asiende Mahakamani. Uchaguzi ulikuwa wa wazi na kidemokrasia!
ACT itampokea
 
Kwa maoni yako ya kutaka Wakili Nkuba akubali kushindwa kwenye uchahuzi wa Rais wa Tanganyika Law Society (TLS) ulifiofikia tamati siku ya jana, jiandae kutenguliwa nafasi yako wakati wowote kuanzia sasa.

Madaraka ya kuhudumu at the pleasure of someone else, yanakupa kila kitu isipokuwa uhuru wa maoni.

Subiri mkeka ujao au hata kabla ya hapo.

Pia soma: Julius Mtatiro: Nikiwa kama kampeni Meneja wa Wakili Nkuba nimemshauri asiende Mahakamani. Uchaguzi ulikuwa wa wazi na kidemokrasia!
Upo sahihi
 
Muchungachi Musigwa ghafla hasikiki Tena.
Wameshamchoka au wanamuandalia post?
Kama katani & co hawaaminiki mzee wa kuff anaweza kuaminika?
Msigwa anajuta kuuodoa ubongo wake na kumkadhi Makalla
 

Attachments

  • downloadfile-21~2.jpg
    downloadfile-21~2.jpg
    141.1 KB · Views: 2
Anaacha ofisi yake kuna mambo mengi ya kufanya kwenye Wilaya yake anaenda kuangaika na akina Mwabukusi ambao kutwa wanamtukana Raisi majukwaani anajielewa kweli.
 
Back
Top Bottom