RUSTEM PASHA
JF-Expert Member
- Jan 26, 2016
- 4,707
- 11,365
Alienda kupiga kura kama wakili.Anaacha ofisi yake kuna mambo mengi ya kufanya kwenye Wilaya yake anaenda kuangaika na akina Mwabukusi ambao kutwa wanamtukana Raisi majukwaani anajielewa kweli.