Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Nafasi yake nimeshaichukua tayari, asuburie tu utenguziKwa maoni yako ya kutaka Wakili Nkuba akubali kushindwa kwenye uchahuzi wa Rais wa Tanganyika Lawa Society(TLS), ulifiofikia tamati siku ya jana, jiandae kutenguliwa nafasi yako wakati wowote kuanzia sasa.
Madaraka ya kuhudumu at the pleasure of someone else, yanakupa kila kitu isipokuwa uhuru wa maoni.
Subiri mkeka ujao au hata kabla ya hapo.
Mtatiro kaanza kuhisi yupo CUFNafasi yake nimeshaichukua tayari, asuburie tu utenguzi
Ataliwa kichwa siku si nyingi.Mtatiro kaanza kuhisi yupo CUF
Ohooooooo!!!!Kwa maoni yako ya kutaka Wakili Nkuba akubali kushindwa kwenye uchahuzi wa Rais wa Tanganyika Lawa Society(TLS) ulifiofikia tamati siku ya jana, jiandae kutenguliwa nafasi yako wakati wowote kuanzia sasa.
Madaraka ya kuhudumu at the pleasure of someone else, yanakupa kila kitu isipokuwa uhuru wa maoni.
Subiri mkeka ujao au hata kabla ya hapo.
Labda hakutumwa.....ila kama ametumwa na kuropoka vile ataliwa tuuu....achunge ulimi wake........njaa mvaya sanaa Nawanda sasa anajuta utakuta anaswalii sasa......madaraka pesa bure rahaaa buana asikwambie mtuuuKwa maoni yako ya kutaka Wakili Nkuba akubali kushindwa kwenye uchahuzi wa Rais wa Tanganyika Lawa Society(TLS) ulifiofikia tamati siku ya jana, jiandae kutenguliwa nafasi yako wakati wowote kuanzia sasa...
Shetani hana rafikiAcha kumtisha wewe
KabisaAtaliwa kichwa siku si nyingi.
ukisikia Uchawi ndio huuKwa maoni yako ya kutaka Wakili Nkuba akubali kushindwa kwenye uchahuzi wa Rais wa Tanganyika Law Society(TLS) ulifiofikia tamati siku ya jana, jiandae kutenguliwa nafasi yako wakati wowote kuanzia sasa.
Madaraka ya kuhudumu at the pleasure of someone else, yanakupa kila kitu isipokuwa uhuru wa maoni.
Subiri mkeka ujao au hata kabla ya hapo.
ACT itampokeaKwa maoni yako ya kutaka Wakili Nkuba akubali kushindwa kwenye uchahuzi wa Rais wa Tanganyika Law Society (TLS) ulifiofikia tamati siku ya jana, jiandae kutenguliwa nafasi yako wakati wowote kuanzia sasa.
Madaraka ya kuhudumu at the pleasure of someone else, yanakupa kila kitu isipokuwa uhuru wa maoni.
Subiri mkeka ujao au hata kabla ya hapo.
Pia soma: Julius Mtatiro: Nikiwa kama kampeni Meneja wa Wakili Nkuba nimemshauri asiende Mahakamani. Uchaguzi ulikuwa wa wazi na kidemokrasia!
Upo sahihiKwa maoni yako ya kutaka Wakili Nkuba akubali kushindwa kwenye uchahuzi wa Rais wa Tanganyika Law Society (TLS) ulifiofikia tamati siku ya jana, jiandae kutenguliwa nafasi yako wakati wowote kuanzia sasa.
Madaraka ya kuhudumu at the pleasure of someone else, yanakupa kila kitu isipokuwa uhuru wa maoni.
Subiri mkeka ujao au hata kabla ya hapo.
Pia soma: Julius Mtatiro: Nikiwa kama kampeni Meneja wa Wakili Nkuba nimemshauri asiende Mahakamani. Uchaguzi ulikuwa wa wazi na kidemokrasia!
Wamegundua hana mvuto tenaMuchungachi Musigwa ghafla hasikiki Tena.
Wameshamchoka au wanamuandalia post?
Kama katani & co hawaaminiki mzee wa kuff anaweza kuaminika?
CCM haina rafiki wa kudumuLabda hakutumwa.....ila kama ametumwa na kuropoka vile ataliwa tuuu....achunge ulimi wake........njaa mvaya sanaa Nawanda sasa anajuta utakuta anaswalii sasa......madaraka pesa bure rahaaa buana asikwambie mtuuu
Msigwa anajuta kuuodoa ubongo wake na kumkadhi MakallaMuchungachi Musigwa ghafla hasikiki Tena.
Wameshamchoka au wanamuandalia post?
Kama katani & co hawaaminiki mzee wa kuff anaweza kuaminika?