Kwani watu wanashindwa kubashiri mshindi kabla ya matokeo kutangazwa? Mbona Nkuba anaongea kama siyo Mwanasheria au ukiwa mwanasheria utakiwi kufanya linganisho la sheria na mambo ya kila siku kwenye maisha ya kawaida?Moja ya lalamiko la SWITII ni kwamba watu walikuwa na matokeo kabla ya kamati kutangaza ,kama akipeleka mahakamani it means on the spot atashindwa kasababu mtatiro na yeye alikuwa wa kwanza kumtangaza SWITII ameshinda.
Kwani watu wanashindwa kubashiri mshindi kabla ya matokeo kutangazwa? Mbona Nkuba anaongea kama siyo Mwanasheria au ukiwa mwanasheria utakiwi kufanya linganisho la sheria na mambo ya kila siku kwenye maisha ya kawaida?
Yaani ni sawa na kutembea uchi, Wananchi wanaamini wanasheria ndio kimbilio lao, Sasa kutokuamini kwa Ntuba ni UDHAIFU'kwa wanasheria!View attachment 3060599
Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Wakili Msomi Julius Mtatiro amesema yeye kama Kampeni Meneja wa Wakili Nkuba amemshauri asiliendeleze suala hilo.
Mtatiro kupitia ukurasa wake wa X amesema Uchaguzi ulikuwa wa Wazi na Kidemokrasia na Wakili msomi Mwabukusi ndiye Mshindi halali
Ahsanteni Sana 😂
Kwako Chawa Choicevariable
Pia soma=> Wakili Sweetbert Nkuba kupinga ushinda wa Wakili Boniface Mwabukusi kuwa Rais wa TLS
Msumbufu huyu (kiki)!Mbinu za kuiba kura imeshindikana kwahiyo amepagawa....Yaani mtu unapigwa gepu la kula zaidi ya 400 yaani 25% gap bado unasema ameibiwa ,wakrudia anaweza akashusha kura chini ya 200.
Kama ulimshauri na bado akaku ignore nakuja hadharani kusema anaenda mahalamani. Na wewe mshauri badala ya kukaa kimya nawe ukaja hadharani kusema ulimshauri asije na akaja, basi naamini ilikuwa sahihi kabisa kushindwa uchaguzi maana wote wawili hamkuwa na busara!View attachment 3060599
Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Wakili Msomi Julius Mtatiro amesema yeye kama Kampeni Meneja wa Wakili Nkuba amemshauri asiliendeleze suala hilo.
Mtatiro kupitia ukurasa wake wa X amesema Uchaguzi ulikuwa wa Wazi na Kidemokrasia na Wakili msomi Mwabukusi ndiye Mshindi halali
Ahsanteni Sana 😂
Kwako Chawa Choicevariable
Pia soma
TLS hakuna vilazaUkisikia kada anakubali kushindwa, shoo haikuwa ya kitoto
Je atafuata njia ya Peter Msigwa?Kushindwa kunauma Sana, alikuwa na uhakika kwamba lazima angetangazwa kuwa Mshindi hata kama angepata Kura chache. Kwa bahati mbaya sana "Jecha wa TLS" hakupata nafasi hiyo ya kumtangaza.
View attachment 3060599
Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Wakili Msomi Julius Mtatiro amesema yeye kama Kampeni Meneja wa Wakili Nkuba amemshauri asiliendeleze suala hilo.
Mtatiro kupitia ukurasa wake wa X amesema Uchaguzi ulikuwa wa Wazi na Kidemokrasia na Wakili msomi Mwabukusi ndiye Mshindi halali
Ahsanteni Sana [emoji23]
Kwako Chawa Choicevariable
Pia soma
Kuna saa anakuwaga na akili timamuMtatilo zinakuja na kuondoka.