July 7,2005

mcTobby, umepotea sana Mkuu, toka tarehe 04/06/2023? Unatuangusha sana wanao Mkuu! Hebu tupia tena muendelezo wake Boss!!
 
Heee
 
1. Je ni kweli Palestina anakaliwa kimabavu? Ni kweli.

2. Je ni kweli wa Palestina walijaribu njia nyingine za amani kudai haki yako? Ni kweli

3. Je walipata haki zao? Bado wapo kwenye utawala wa kimabavu

4. Je wapalestina wapo salama kwenye ardhi yao? Hapana

5. Je Israel walipata walichotaka? Ndio richa ya kuivamia Palestina bado walipewa 51% ya ardhi bora ya Palestina na bado wanaikalia kimabavu sehemu ndogo waliyopewa wapalestina

6. Nani adui wa Palestina? Uingereza, Marekani na Israel

7. Je raia wa Marekani au Uingereza hawana hatia? Wanahatia, hapa Tanzania kwa mfano tunalipa kodi kwa ajili ya matumizi yetu kama kujenga barabara, kulipa mishahara ya wafanyakazi wa umma n.k
Wamarekani wanalipa kodi, kodi zinazotumika kuua mamilioni ya watu kilimeta nyingi kutoka walipo, kwanini Osama hakushambulia majengo ya China, India, Russia, Brazil au South Africa?

8. Palestina wafanye nini ili wapate haki yao? Option ni moja ukiwa kwenye ardhi yangu na hakuna njia yoyote tena ya kistaarabu ninayoweza kuitumia na ikafanya kazi, lazima nitumie njia yoyote ile nitakayoweza ili uweze kuelewa

"The oppressed" ana haki ya kutumia njia yoyote ile necessary kupambana na "The oppresser"

Makundi kama HAMAS yanapokosea ni kutumia Uislamu kama mwamvuli wa kupata support kutoka kwa nchi za kiislamu

Hii inafanya iwe rahisi kwa Wataalamu wa propaganda wa magharibi kuwa onyesha kwa watu kama "Religious fanatics" ambao hawapendi maisha ya kimagharibi au wasio waislamu wakati kuna sababu nzuri tu tena zinazoingia akilini za wao kufanya wanachofanya

Moja kati ya maamuzi ya hovyo waliyafanya ni ku link dini na political struggles zao, hii ni karne ya 21 sio ya 7

Hakuna atakaye kufa ajili yako kwa sababu mnaswali msikiti mmoja.

Kuna utengano mkubwa kwenye hizo zinazojiita nchi za kiarabu unaofanya ziwe watumwa wa Marekani

Kwa kifupi, HAMAS na makundi ya namna hio wanahaki ya kufanya wanachofanya ila wanapo changanya uislamu na matatizo yao ya kisiasa wanapoteza uhalali wote, kunakua hakuna tofauti kati yao na makundi kweli ya kigaidi kama ISIS yanayofadhiliwa na watesi wao.
 
Reactions: Ame
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…