Juma Abdul na Yondani wapo wapi?

We nyani acha uongo yondani aliingia mwishoni hamtaki kukubali timu yenu mbovu
Mi nimeshamuelewa...nguvu nyingi anayotumia ni kutaka tu kujustify kuwa kipigo cha nne mechi iliuzwa...ukimwabia athibitishe anazunguka tu....mambo hayo yashapitwa na wakati...Barca mwenyewe anapigwa nane sembuse Yanga beki Makapu...Mashabiki wa hivi wanakera sana sometimes
 
Hawa jamaa kila walifungwa wanatafuta sababu nje ya mpira lakini wao wakishinda ni ushindi halali hata wafunge kwa mkono
 
Kwa taarifa yako ni hekima imetumika, hata wangekubari kusainiwa bure ,lingezukq jingine ,amini hata kama wangekubari kucheza bila mshahara wasingesajiliwa
 
Iko vizuri kushindana na Mbao FC, Simba na nyingine za hapa ndani, ila ikitoka nje ni majanga. Na hili ni kwa timu zote kubwa hapa bongo.
 
Kwa taarifa yako ni hekima imetumika, hata wangekubari kusainiwa bure ,lingezukq jingine ,amini hata kama wangekubari kucheza bila mshahara wasingesajiliwa
Unaweza thibitisha? Kama haiwezekani ni bora ukae tu kimya ,kwani unajua wazi hakuna anayeweza amini maneno matupu..ni upotezaji wa muda.
 
Km wanaruhusu kupigwa nyingi ss tutawasaidiaje.wapigwe tu hamna namna.
 
Ttz la soka la Bongo... ukiwa Mchezaji wa SIMBA au YANGA... ukitaka kuhama... unakuwa na OPTIONS chache sana ambazo ni tm pinzani au AZAM FC....

Case ya Yondan na Juma inaangukia hapo... wkt wanakataa Madau ya YANGA... SIMBA wamenyut! Azam wamenyuti... Refer Kichuya's case
 
Yanga jengeni kikosi cha ushindi huu utopolo hautawasaidia.Sasa Kuna Abdul na Yondani hawapo mko vzr kiasi gani.Derby ijayo mkipigwa tena nan atakuwa mhanga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…