Huyo aliyesema hayo maneno ni mpumbavu wahed.
Kwanza rais hapatikani bila kusoma moshes na chama. Amejidai eti yuko neutral kwa kutumia neno βvyamaβ, huku reference ikiwa ni chadema. Stupid.
Hapo mkuu hamna baraza, Ni kivuli Cha m/kit wa nzi wa kijani kinapiga kazi!Kuna mabaraza hayaeleweki ie baraza la sanaa au baraza la vyama vya siasa na like baraza la nanii ni ushubwada mtu hayana maana yapo kutumika na watawala tu
Huyo aliyesema hayo maneno ni mpumbavu wahed.
Kwanza rais hapatikani bila kusimamishwa na chama. Amejidai eti yuko neutral kwa kutumia neno βvyamaβ, huku reference ikiwa ni chadema. Stupid.
Kwani lazima awe Rais?? Halazimishwi kuwa Rais, kama hawezi criticism anaacha!Kwa ufupi;
Mwenyekiti wa Baraza la Vyama vya Siasa nchini, Juma Ali Khatib amevitaka vyama vya siasa kuacha kutoa mashinikizo kwa Rais Samia ikiwemo madai ya katiba mpya na kutishia kufanya maandamano, kwani hivyo sio vipaumbele vya serikali vinavyotokana na matakwa ya wapiga kura.
Mwenyekiti yuko sahihi kabisa.Kwa ufupi;
Mwenyekiti wa Baraza la Vyama vya Siasa nchini, Juma Ali Khatib amevitaka vyama vya siasa kuacha kutoa mashinikizo kwa Rais Samia ikiwemo madai ya katiba mpya na kutishia kufanya maandamano, kwani hivyo sio vipaumbele vya serikali vinavyotokana na matakwa ya wapiga kura.
Yaani hapo ndio huwa natamani JamiiForums wawe na kialama cha dole la kati tukitumie kuwanyooshea wapumbavu kama huyu anayejiita mwenyekiti
Yaani hapo ndio huwa natamani JamiiForums wawe na kialama cha dole la kati tukitumie kuwanyooshea wapumbavu kama huyu anayejiita mwenyekiti
Tatizo ni pale criticisms zinapogeuka kuwa matusi na kumwambia mwaka huu hamalizi anakufaKwani lazima awe Rais?? Halazimishwi kuwa Rais, kama hawezi criticism anaacha!
URais siyo kazi nyepesi nyepesi ya kupeana ushikaji
Mwenyekiti katoa ujumbe murua lakini wakati siyo husika, wadai katiba wenyewe wameshasanda, mapambano ya mwezi mmoja tu wamepoteana, unawasikia tena mkuu?Mwenyekiti yuko sahihi kabisa.
Katiba mpya si hitaji la wananchi walio wengi...
Vipaumbele vya serikali vinapolalamikiwa na wapiga kura vinasikilizwa na nani?Je,iwapo serikali iliwadharau wapiga kura na kuzichakachua kura zao wanaenda kulalamikia wapi?Kwa ufupi;
Mwenyekiti wa Baraza la Vyama vya Siasa nchini, Juma Ali Khatib amevitaka vyama vya siasa kuacha kutoa mashinikizo kwa Rais Samia ikiwemo madai ya katiba mpya na kutishia kufanya maandamano, kwani hivyo sio vipaumbele vya serikali vinavyotokana na matakwa ya wapiga kura.