TANZIA Juma Jerry (almaarufu Mzee wa Mbezi) wa TOT afariki Dunia



Aliyekuwa mpiga kinanda nguli wa Kikundi cha CCM cha Tanzania One Theatre (TOT) au TOT Plus Juma Jerry au Mzee wa Mbezi ( dunia (Pichani) amefariki

Akithibitisha kifo hicho Mkurugenzi wa TOT Gasper Tumaini amesema Jerry amefariki dunia leo katika Hospitali ya Lugalo jijini Dar es Salaam, alikokuwa akitibiwa.

Tumaini amesema Jerry alilazwa Lugalo tangu jana akipatiwa matibabu ya presha aliyokuwa akiugua kwa mda mrefu.

Jerry pia alikuwa Mwenyekiti wa muda wa Chama cha Wanamuziki wa Taarab Tanzania.
 
J J eeeh!
Sema Banza!
Ya kwake ndogooo!
Ya mwenzie!?
Kubwaaaaaaaa........!
Nini hiyo!?
Aaah!.....simu ya mkononi!

R.I.P JJ mzee wa mbezi!
 
Ni Abdallah Kitia au Juma Jerry ama ndio huyo huyo?!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…