Juma jux, Lulu Michael mambo hadharani

warumi

R I P
Joined
May 6, 2013
Posts
16,218
Reaction score
18,440
Jaman mji mzito huu, kwa hiyo Majizo anamla Vanessa Mdee? Khaa poleni akina Lulu na Jux , kama vipi na nyie si mlianzishe, maana mnapendezana hatari, khaa yani V Money jamani ptuuu hadi wewe? Looh pole Lulu mwaego, ndio maana vijembe vilikuwa haviishi insta loh mji mzito , Ahahah , Vanessa and Majiso new couple in town huu
 
Si ulisema jux ni mchicha mwiba dada
 
Wanafaida gan kwa taifa letu
 
Embuuu!

Ujue sijaelewa!

Lulu aliolewa na Majizo, sawa!

Jux alikuwa kimapenzi na Vanessa.

Sasa imekuwaje Lulu yupo kimahaba na Jux, halafu Vanessa na Majizo?

What's wrong?
 
Embuuu!

Ujue sijaelewa!

Lulu aliolewa na Majizo, sawa!

Jux alikuwa kimapenzi na Vanessa.

Sasa imekuwaje Lulu yupo kimahaba na Jux, halafu Vanessa na Majizo?

What's wrong?

Soma umbea vzur shoga angu [emoji23][emoji23]
 
Hah[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]kama nawaona team lulu wanahamishia matusi kwa Vanessa!
Malipo hapa hapa sosho media!

Ama kweli karma is a bitch!!!Lulu huyuu muiba waume za watu Leo kaibiwa na kimbau mbau Vanessa!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…