Raynavero
JF-Expert Member
- Apr 29, 2014
- 38,378
- 56,047
Lulu anasifika kudhibiti wanaume unaambiwa akikupata hutamani kutoka!sasa Leo imekuaje kaibiwaa?!!!!Kawaida sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lulu anasifika kudhibiti wanaume unaambiwa akikupata hutamani kutoka!sasa Leo imekuaje kaibiwaa?!!!!Kawaida sana
Sie wakulima wa pamba tunacomment wapi?
Utajiri ni kitu kingine na kutoa ni kitu kingine. Na pesa za Majay lakini ilibidi nguo za zamani zipigwe mnada. Binamu kusutwa kazi mimi nina log off.Jux atampa nn? Kwan lulu hana akili, anajua pa kulenga, uzuri lulu bado ana soko , matajir kibao wanatka kutoa nae
Majizo anabadilisha mbogaLulu anasifika kudhibiti wanaume unaambiwa akikupata hutamani kutoka!sasa Leo imekuaje kaibiwaa?!!!!
Hahaaa!! Umaskini mbaya sana aseeh!! Atakomaa mradi yake yaende maana kuhama feza kuhamia Tusiime!nehiiiMji mzito huu, Lulu hawezi kwenda kwa Jux, atavumilia hapo kwa Majizo asomeshewe mdogo wake Feza Boys.
Hah[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]kama nawaona team lulu wanahamishia matusi kwa Vanessa!
Malipo hapa hapa sosho media!
Ama kweli karma is a bitch!!!Lulu huyuu muiba waume za watu Leo kaibiwa na kimbau mbau Vanessa!!!
Lulu hakuolewa alichumbiwa na majizoEmbuuu!
Ujue sijaelewa!
Lulu aliolewa na Majizo, sawa!
Jux alikuwa kimapenzi na Vanessa.
Sasa imekuwaje Lulu yupo kimahaba na Jux, halafu Vanessa na Majizo?
What's wrong?
Mjini hapa bibi watu wanatafuta statusHahaaa!! Umaskini mbaya sana aseeh!! Atakomaa mradi yake yaende maana kuhama feza kuhamia Tusiime!nehiii
Haha Mjini hakuna chepe ako Dada akeHah[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]kama nawaona team lulu wanahamishia matusi kwa Vanessa!
Malipo hapa hapa sosho media!
Ama kweli karma is a bitch!!!Lulu huyuu muiba waume za watu Leo kaibiwa na kimbau mbau Vanessa!!!
Utajiri ni kitu kingine na kutoa ni kitu kingine. Na pesa za Majay lakini ilibidi nguo za zamani zipigwe mnada. Binamu kusutwa kazi mimi nina log off.
Utajiri ni kitu kingine na kutoa ni kitu kingine. Na pesa za Majay lakini ilibidi nguo za zamani zipigwe mnada. Binamu kusutwa kazi mimi nina log off.
Nilisikia dada zake Majay walimkamata na hirizi inapumua lakini kaka ndiyo amependa.Mwenzangu, kumbe majizo anapendaga vi portable , khaa , we mwache ajishaue yule Mpare , lulu mwenzie mchawi, atamgeuza sehem za siri sasa hiv [emoji23][emoji23]
Utajiri ni kitu kingine na kutoa ni kitu kingine. Na pesa za Majay lakini ilibidi nguo za zamani zipigwe mnada. Binamu kusutwa kazi mimi nina log off.
Ahahah pole binamu , khaa umbea umenikolea[emoji23][emoji23], pole kaka angu
Mmh pesa ya mwenzio kuifanya yako shughuli binamuAhahah binamu jaman ebu toa ya moyon, mi nilidhan save my valentine alitoa kwa upendo? Kumbe kuna mengine nyuma ya pazia ? Hakyamungu singinda sirud tena warumi mimi [emoji23][emoji23]
Lulu hakuolewa alichumbiwa na majizo