Juma jux, Lulu Michael mambo hadharani

Hah[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]kama nawaona team lulu wanahamishia matusi kwa Vanessa!
Malipo hapa hapa sosho media!

Ama kweli karma is a bitch!!!Lulu huyuu muiba waume za watu Leo kaibiwa na kimbau mbau Vanessa!!!

Mwenzangu, kumbe majizo anapendaga vi portable , khaa , we mwache ajishaue yule Mpare , lulu mwenzie mchawi, atamgeuza sehem za siri sasa hiv [emoji23][emoji23]
 
Embuuu!

Ujue sijaelewa!

Lulu aliolewa na Majizo, sawa!

Jux alikuwa kimapenzi na Vanessa.

Sasa imekuwaje Lulu yupo kimahaba na Jux, halafu Vanessa na Majizo?

What's wrong?
Lulu hakuolewa alichumbiwa na majizo
 
Lulu anasifika kudhibiti wanaume unaambiwa akikupata hutamani kutoka!sasa Leo imekuaje kaibiwaa?!!!!

C uchawi, naona dawa zime expire sasa , anaanza kuibiwa na yeye [emoji23][emoji23]
 
Hah[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]kama nawaona team lulu wanahamishia matusi kwa Vanessa!
Malipo hapa hapa sosho media!

Ama kweli karma is a bitch!!!Lulu huyuu muiba waume za watu Leo kaibiwa na kimbau mbau Vanessa!!!
Haha Mjini hakuna chepe ako Dada ake
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]bahiliiii!!
Utajiri ni kitu kingine na kutoa ni kitu kingine. Na pesa za Majay lakini ilibidi nguo za zamani zipigwe mnada. Binamu kusutwa kazi mimi nina log off.
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]bahiliiii!!
Utajiri ni kitu kingine na kutoa ni kitu kingine. Na pesa za Majay lakini ilibidi nguo za zamani zipigwe mnada. Binamu kusutwa kazi mimi nina log off.
 
Utajiri ni kitu kingine na kutoa ni kitu kingine. Na pesa za Majay lakini ilibidi nguo za zamani zipigwe mnada. Binamu kusutwa kazi mimi nina log off.

Ahahah binamu jaman ebu toa ya moyon, mi nilidhan save my valentine alitoa kwa upendo? Kumbe kuna mengine nyuma ya pazia ? Hakyamungu singinda sirud tena warumi mimi [emoji23][emoji23]
 
Ahahah binamu jaman ebu toa ya moyon, mi nilidhan save my valentine alitoa kwa upendo? Kumbe kuna mengine nyuma ya pazia ? Hakyamungu singinda sirud tena warumi mimi [emoji23][emoji23]
Mmh pesa ya mwenzio kuifanya yako shughuli binamu
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]bahiliiii!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…