Watoto wa kizungu huu ujinga wa kujionesha hivi hawana why? Because they believe in themselves and know their values! Wa-Afrika we suffer from lack of confidence and low self esteem! ShowOff ShowOff tu na bling bling tu!!. Ukiwauliza plan zao za maisha in next 5years hawajui!!
Watoto wa kizungu huu ujinga wa kujionesha hivi hawana why? Because they believe in themselves and know their values! Wa-Afrika we suffer from lack of confidence and low self esteem! ShowOff ShowOff tu na bling bling tu!!. Ukiwauliza plan zao za maisha in next 5years hawajui!!
Sembeeeeeeeeeeee woyeeeeeeee
Mbona nasikiag huyo jamaa wa kishua sana au ni fix
Kaomba apigie picha uyo
vijana wa RKOI ni balaa, ukiangalia picha zao utajihisi wewe unadumu tu ila wao ndo wanaishimkuu hata malimbukeni wakizungu wapo,nasikia kuna RKOI(RICH KIDS OF Instagram) wazungu hao..
Ila huyu mhhh power of sembe
Hapa bongo ukiwaa maarufu tu lazimaa utasikiaa ni wa kishua huyooo