Juma Jux muziki unamlipa sana. Avuta Ndinga ya hataree


Duh hongera zako bana,,sisi motokaa twazisikia tuu.
 

..Ila wabongo nasisi tumezidi kutia chumvi jamani.. kha!

 
Mkuu umeandika ukweli mtubu...sisi ngozi nyeusi kuna mahali tuna tatizo
 
Hivi mbona wabongo mnamawazo hafifu hivi. Mbona mnawaza magari ya rahisi ya mjapan, mchina etc. Hivi hamuonagi machuma ya Mwingereza mjerumani etc. Mbona sijssikia mbongo kavuta hata toyota mpya sio mtumba wa mchina au mjapan? Acheni ushamba nyie.
 
Hivi mbona wabongo mnamawazo hafifu hivi. Mbona mnawaza magari ya rahisi ya mjapan, mchina etc. Hivi hamuonagi machuma ya Mwingereza mjerumani etc. Mbona sijssikia mbongo kavuta hata toyota mpya sio mtumba wa mchina au mjapan? Acheni ushamba nyie.

mshamba ni mtu wa namna gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…